Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
Dr. Slaa hana uwezo wa kuitekeleza hii ahadi naamini hata yeye anajua hilo. Wanasiasa ni waongo!
Mpe kura yako uone!! Kwani CCM wanaweza wenyewe!! Mkuu siasa za chama hazina uhusiano na serikari. Kwa hali ya kwaida serikari si chama kabisa. So chama chochote chaweza kuchukua drivers' seat na kiakongoza!!! lol! Ndo maana hairuhusiwi kutumia rasilimali ya serikari kwenye kampeni. Chama hakishiki hatamu tena yalikwisha haya!!
Acha fikra mgando mkuu. Tunaomba kura yako kwa Dr. W. Slaa. Asante.