USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,892
- 22,649
Wana JF,
Muda mfupi mfupi uliopita aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Spika wa Bunge la Afrika Mashariki na Katibu Mkuu wa Zamani wa Chama changu cha Mapinduzi ametuonya kuwa hakuna Uchaguzi Mkuu rahisi hata siku moja kuwa kura ya mpiga kura ipo moyoni mwake.
Akiwa hapa msibani Masaki kwenye msiba wa Rais Benjamin Mkapa amewaambia wanahabari kuwa sio kuwa na mawazo ya uchaguzi rahisi maana yeye ameshiriki chaguzi zote tangu1995 akimsaidia marehemu Mkapa mpaka mwaka 2015 akiwa Katibu Mkuu wa CCM kwenye uchaguzi iliopitisha Rais Magufuli kuwa hakuna kutegemea uchaguzi mwepesi kwa kuwa haupo.
"Wanaweza watu wakajaa kwenye kampeni na wala wasikupigie kura, wanaweza wakaja ukadhani tayari ila sio wako hata wakikushangilia ni maneno tu maana kura hazikai mdomoni hukaa mioyoni"
USSR
Muda mfupi mfupi uliopita aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Spika wa Bunge la Afrika Mashariki na Katibu Mkuu wa Zamani wa Chama changu cha Mapinduzi ametuonya kuwa hakuna Uchaguzi Mkuu rahisi hata siku moja kuwa kura ya mpiga kura ipo moyoni mwake.
Akiwa hapa msibani Masaki kwenye msiba wa Rais Benjamin Mkapa amewaambia wanahabari kuwa sio kuwa na mawazo ya uchaguzi rahisi maana yeye ameshiriki chaguzi zote tangu1995 akimsaidia marehemu Mkapa mpaka mwaka 2015 akiwa Katibu Mkuu wa CCM kwenye uchaguzi iliopitisha Rais Magufuli kuwa hakuna kutegemea uchaguzi mwepesi kwa kuwa haupo.
"Wanaweza watu wakajaa kwenye kampeni na wala wasikupigie kura, wanaweza wakaja ukadhani tayari ila sio wako hata wakikushangilia ni maneno tu maana kura hazikai mdomoni hukaa mioyoni"
USSR