David Djumbe
Member
- Oct 14, 2013
- 42
- 36
katika hali ya kushangaza , leo akihutubia mkutano wilayani Chunya Katibu Mkuu wa CCM A . Kinana , amesema sera za ardhi zipo ni nzuri lakini zinashindwa kutekelezwa na ndio maana anawashangaa wanaCCM wanapinga kuambiwa hawafai... " inakuweje Serikali ichukue mashamba kwa wananchi halafu ikashindwa kuyaendeleza? na kama imeshindwa kwanini wasiwarudishie wananchi? je ni halali wananchi kukodi mashamba yao wenyewe? sasa kwanini tukiambiwa CCM haifai tunakataa?
huyo ni katibu mkuu CCM ngoja tuwasikie vibaraka wanasemaje hapa.
nimewasilisha
huyo ni katibu mkuu CCM ngoja tuwasikie vibaraka wanasemaje hapa.
nimewasilisha