mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,314
- 290
MDAHALO ULIOFANYIKA STAR TV KATI YA DK.SLAA NA MR.KINANA
NUKUUK.SLAA
Hatuwezi kugawana madaraka kwa kufuraishana tu,Sihitaji mawaziri wengi wanaofanya kazi ya kufungua makongamano,semina na mikutano.Sihitaji mawaziri ambao kazi yao ni kujibu maswali bungeni tu,Nahitaji serikali ndogo inayotumia gharama ndogo lakini yenye tija katika kuhudumia wananchi
KINANA ANAJIBU:
anayeamua ni rais mwenyewe lakini nakubali kabisa kuwa na baraza kubwa la mawaziri si sahii...
NUKUUK.SLAA
Hatuwezi kugawana madaraka kwa kufuraishana tu,Sihitaji mawaziri wengi wanaofanya kazi ya kufungua makongamano,semina na mikutano.Sihitaji mawaziri ambao kazi yao ni kujibu maswali bungeni tu,Nahitaji serikali ndogo inayotumia gharama ndogo lakini yenye tija katika kuhudumia wananchi
KINANA ANAJIBU:
anayeamua ni rais mwenyewe lakini nakubali kabisa kuwa na baraza kubwa la mawaziri si sahii...