T TORRIMINATOR Member Nov 2, 2010 6 0 Nov 2, 2010 #1 KINANA msemaji wa chama cha mapinduzi akubali chama chake chapoteza majimbo 29 bara, 22 zanzibar!
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 Nov 2, 2010 #2 Lakini majimbo si hayajaisha kutangazwa result! Asubiri kuongezeka kwa idadi zaidi.
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Nov 2, 2010 #3 Eti licha ya kupoteza majimbo hayo bado wanaamini watashinda kwa kishindo.