Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Nafasi za Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete na John Magufuli katika maisha ya Chama cha Mapinduzi
Mzee Ruksa alipokea mgonjwa kutoka kwa Mwalimu akawa anamuuguza nyumbani kabla hajamkabidhi BM alieacha kumpa dawa na hali ikabadilika ikabidi mgonjwa ahamishiwe hospitali kwa uangalizi zaidi ingawa haikusaidia mpaka leo. Mkapa aliitoa CCM kutoka mtaani na kuipeleka wodini; Kikwete kwa upande...
www.jamiiforums.com