Mtokeemo Sasa muje Kwa huku,Kila mmoja ana nafasi sawa🏃Mizania ya ushindani huko haipo fair.
Akatokea kijana mwenye uwezo dhidi ya mtoto wa mwenye chama lazima tu utaegema kwa mtoto mwenye chama.
Sifa ya kuwa na uwezo haipo kabisa.
Bali una nini , wewe jina lako la mwisho lipi au unamjua nani?