Kinadada na zawadi za ma apple na maua

ha!ha! raha kweli kweli........bt apo inategemea na malez ya uyo mdada....km kakulia kwenye matamthliya tangu utototoni anaona tu watu wanatongozana na kupendana kwa kupeana maua wat do u thk?sa wewe umekulia bom bom uko kiwalani akikuletea maua unaona anakuchanganya tu bora ata angekupa iyo ela ungenda kupunguza baadhi ya maden kwa mpemba.....!!!!!!
..wengne apa ukinipa maua sjui kadi naona ahhhh i ela asi angenipa nkafanyia kitu kngne....afu izo ni swaga za kitoto saaaaaana labda epo cz ni tunda ntaelewa lakin maua sju kad ni za enz zileeeeeee form two b...!!!!!! nbt nw m grwn up najua mapenz au real lov cant b xplnd by flowers o kadi...MATENDO YAKO NDO KADI,MAUA NA EPO LAKO ..KM YANAONYESHA ANAKUPENDA KWELI..
Kuna duu mmoja ivi nilisoma nae ahh yan bf wake akija bla epo sjui kadi na maua mbona kes itaamuliwa na waden..ah sjui ni matatizo au kukremisha kwamba bla maua au kad akupend????

mmh mi bado mshamba na ntaendelea kuwa mshamba kwenye tasnia hii.....!!!!
 
ha!ha! raha kweli kweli........bt apo inategemea na malez ya uyo mdada....km kakulia kwenye matamthliya tangu utototoni anaona tu watu wanatongozana na kupendana kwa kupeana maua wat do u thk?sa wewe umekulia bom bom uko kiwalani akikuletea maua unaona anakuchanganya tu bora ata angekupa iyo ela ungenda kupunguza baadhi ya maden kwa mpemba.....!!!!!!
..wengne apa ukinipa maua sjui kadi naona ahhhh i ela asi angenipa nkafanyia kitu kngne....afu izo ni swaga za kitoto saaaaaana labda epo cz ni tunda ntaelewa lakin maua sju kad ni za enz zileeeeeee form two b...!!!!!! nbt nw m grwn up najua mapenz au real lov cant b xplnd by flowers o kadi...MATENDO YAKO NDO KADI,MAUA NA EPO LAKO ..KM YANAONYESHA ANAKUPENDA KWELI..
Kuna duu mmoja ivi nilisoma nae ahh yan bf wake akija bla epo sjui kadi na maua mbona kes itaamuliwa na waden..ah sjui ni matatizo au kukremisha kwamba bla maua au kad akupend????

mmh mi bado mshamba na ntaendelea kuwa mshamba kwenye tasnia hii.....!!!!


Am learning here...:A S-heart-2::A S-heart-2:
 
Yaani huwa nacheka sana.
Eti ukipeleka zawadi ya apple na maua unaonekana wa maana sana kuliko yule aliyepeleka zawadi ya doti za vitenge.

kila mtu na kile anachokipenda, mi mpenzi wangu nikimletea zawadi ya tunda la topetope huwa anaenjoy sana!!
 
Demu wangu aliniuliza nitampelekea zawadi gani, nkamjibu maua.
Akaa anayasubiri kwa hamu.
Nikiwa narudi zangu home mitaa ya mbuyuni nikavamiwa na kundi la wauza maua.
Ya zambarau yakanivutia zaidi, nikatoa elfu kumi,
nikanunu.
Nilipomfikishia mamsapu akanitimua eti ni maua ya wagonjwa na msibani.
Sitaki kabisa haya mambo ya kasumba
 
ha!ha! raha kweli kweli........bt apo inategemea na malez ya uyo mdada....km kakulia kwenye matamthliya tangu utototoni anaona tu watu wanatongozana na kupendana kwa kupeana maua wat do u thk?sa wewe umekulia bom bom uko kiwalani akikuletea maua unaona anakuchanganya tu bora ata angekupa iyo ela ungenda kupunguza baadhi ya maden kwa mpemba.....!!!!!!
..wengne apa ukinipa maua sjui kadi naona ahhhh i ela asi angenipa nkafanyia kitu kngne....afu izo ni swaga za kitoto saaaaaana labda epo cz ni tunda ntaelewa lakin maua sju kad ni za enz zileeeeeee form two b...!!!!!! nbt nw m grwn up najua mapenz au real lov cant b xplnd by flowers o kadi...MATENDO YAKO NDO KADI,MAUA NA EPO LAKO ..KM YANAONYESHA ANAKUPENDA KWELI..
Kuna duu mmoja ivi nilisoma nae ahh yan bf wake akija bla epo sjui kadi na maua mbona kes itaamuliwa na waden..ah sjui ni matatizo au kukremisha kwamba bla maua au kad akupend????

mmh mi bado mshamba na ntaendelea kuwa mshamba kwenye tasnia hii.....!!!!
Rose mie kwa namna moja au nyingine nakubaliana na wewe ...hivi vitu haviingii sana akilini....lakini wanawake wengi wanapenda penda hii habari hasa huku ughaibuni napoishi..sasa inanichanganya kidogo lakini wanahususdu vitu hivi yaani akipokea hata kama ni mara ya kwanza basi dalili nzuri sana ..yaani pengine unaweza kupata "one night standing" kumega
 
Siku hizi hakuna cha maua wala nini,ni chips kuku na bia mambo yamekwisha
 
Tatizo watu wana'copy motion' za UGHAIBUNI ambako hivi vitu vina maana sana. Tena huenda hata bei ziko vizuri! Inasikitisha mtu amelazwa dalaja la III, we unampelekea kadi, maua na kajitunda (APPLE) wakati chakula tu ni shida wodi hizo. Huo ni UKASUKU, kwani uzito wa kadi si uko kwenye MAANDISHI tu? Hata hivo wengine utakuta hata hicho KIMOMBO bado ni TATIZO, kadi ya POLE mtu analeta ya PONGEZI! Ni vizuri mkazo ukawekwa kwenye vitu vinavyoweza kutumika kwa hatua zaid baada ya ku'show LOVE! Mi ni hayo tu.
 
Kuna siku mkaka wa kinigeria alikuwa anasema huko kwao mdada umpelekee zawadi ya maua utayakuta kwenye dust bin. inabidi upeleke vitu vya maana. maua! yaani alikuwa anashangaa sana
 
Demu wangu aliniuliza nitampelekea zawadi gani, nkamjibu maua.
Akaa anayasubiri kwa hamu.
Nikiwa narudi zangu home mitaa ya mbuyuni nikavamiwa na kundi la wauza maua.
Ya zambarau yakanivutia zaidi, nikatoa elfu kumi,
nikanunu.
Nilipomfikishia mamsapu akanitimua eti ni maua ya wagonjwa na msibani.
Sitaki kabisa haya mambo ya kasumba
:smile-big::smile-big::smile-big:inabidi usjue meaning za color
 
Back
Top Bottom