Kinadada mtalia sana kwa kutojielewa

kibaravumba

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
6,635
7,005
Kina dada zetu mniwie radhi.Naona wengi sana hamjielewi siku hizi,licha tu ya kutoielewa dunia

Nimeona mara kadhaa hata humu mtu anataka mume,anaanza kuweka vigezo kama vya TCU!Mara awe na cheti cha form six,shahada ya kwanza sijui yenye GPA isiyopugua 3.5!Masharti mengi kama mtu anaomba kazi ikulu,mara mweusi mrefu,mwembamba awe na kifua kama cha John Cena,Mpole lakini mcheshi,awe na dini kama yangu,asiwe mnywaji wa pombe na umri usizidi miaka 30!Asiwe na kibamia!

Na kibaya zaidi utaambiwa uwe na kazi ya kueleweka na akaunti mbili mbili kila benki!wewe binti umekuwa TRA?Unataka kuwa mtoza ushuru?

Unaweza ukampata kama wewe ni binti mrembo maana waigizaji wapo wengi,lakini kumbuka siku moja utaja jililia mwenyewe kama chizi!

Mnapenda mapenzi ya kifilipino,mapenzi ya kwenye video,mnasahau kuwa maisha ni halisi na siyo ndoto,badilikeni sasa!Mimi nawaambia kwamba "Kuwa original"mtaishi kwa furaha

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kina dada zetu mniwie radhi.Naona wengi sana hamjielewi siku hizi,licha tu ya kutoielewa dunia

Nimeona mara kadhaa hata humu mtu anataka mume,anaanza kuweka vigezo kama vya TCU!Mara awe na cheti cha form six,shahada ya kwanza sijui yenye GPA isiyopugua 3.5!Masharti mengi kama mtu anaomba kazi ikulu,mara mweusi mrefu,mwembamba awe na kifua kama cha John Cena,Mpole lakini mcheshi,awe na dini kama yangu,asiwe mnywaji wa pombe na umri usizidi miaka 30!Asiwe na kibamia!

Na kibaya zaidi utaambiwa uwe na kazi ya kueleweka na akaunti mbili mbili kila benki!wewe binti umekuwa TRA?Unataka kuwa mtoza ushuru?

Unaweza ukampata kama wewe ni binti mrembo maana waigizaji wapo wengi,lakini kumbuka siku moja utaja jililia mwenyewe kama chizi!

Mnapenda mapenzi ya kifilipino,mapenzi ya kwenye video,mnasahau kuwa maisha ni halisi na siyo ndoto,badilikeni sasa!Mimi nawaambia kwamba "Kuwa original"mtaishi kwa furaha

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Bwahahahahahaaa
 
Mambo yote USA baby tu.

Ukiwa USA baby
flag_usa.gif
flag_usa.gif
flag_usa.gif
utawatafuna sana akina Valentina :D:D:D
 

Sasa hivyo vigezo ndio ili akiingia ndoani asichepuke ila ukitaka plan B a.k.a fata mkumbo mwanaume yeyote akuoe ndio zile ndoa ndoano
 
Dada zetu wana mambo mengi kichwani ambayo mengine hayatekelezeki ila wao wanataka yatekelezeke. Mwisho wa siku watu wanajilia vyao na kukimbia. Natumai meseji imefika.
 
Wadada wengine washachokwa kuliwa papuchi mitaani ndio huja kwenye mitandao na masharti kibaoo kama kweli mzuri si angelipata mwenza huko huko mitaani.
 
Ukikataliwa kwa vile huna vigezo vyake shukuru... Kwa vile huenda Mungu amekuepushia balaa Fulani huko mbeleni
 
Dada zenu wana mambo mengi kichwani ambayo mengine hayatekelezeki ila wao wanataka yatekelezeke. Mwisho wa siku watu wanajilia vyao na kukimbia. Natumai meseji imefika.

Daah umenena mkuu, kuna mmoja kaniomba sim ya 700,000 kwa kipindi hiki, tena anakomaa balaa sasa nawaza hiki kipindi cha mjomba magu hakijuw kweli, au hasomi magazeti asee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom