Kinachowapa nguvu ya Uchakachuaji Tume Ya Uchaguzi Hii Hapa

Crooked I

Member
Oct 5, 2010
19
0
Leo wakati naisoma katiba katika ibara inayotoa muongozo wa Tume ya uchaguzi nilikutana na uozo wa karne. Pamoja ya kuwa karibu vipengele vyote vina shida kubwa tu, lakini hii hapa imevunja rekodi.....

......Ibara ya 74 (12) Hakuna mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya
kuchunguza jambo lolote lililotendwa na Tume ya Uchaguzi katika
kutekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii......

Hapa ndipo Dr Slaa na CHADEMA walipogonga mwamba, hata kama wangeshinda kura za wananchi, wasingeweza kushinda kura za NEC...!!!
 
Ayo ndo maeneo ya kuyapangua kwa hii katiba ya Tz,why mahakama isichunguze kama kulikuwa na uzembe does that mean kuwa NEC wako above the law ata kama wakiboronga?
 
Leo wakati naisoma katiba katika ibara inayotoa muongozo wa Tume ya uchaguzi nilikutana na uozo wa karne. Pamoja ya kuwa karibu vipengele vyote vina shida kubwa tu, lakini hii hapa imevunja rekodi.....

......Ibara ya 74 (12) Hakuna mahakama yoyote itakayokuwa na mamlaka ya
kuchunguza jambo lolote lililotendwa na Tume ya Uchaguzi katika
kutekeleza madaraka yake kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii......

Hapa ndipo Dr Slaa na CHADEMA walipogonga mwamba, hata kama wangeshinda kura za wananchi, wasingeweza kushinda kura za NEC...!!!
Hapo ndo kwenye mgogoro kati ya Chadema na Serikali dhalimu ya CCM.
 
Ni ccm tu hao waliopachika hivyo vipengele kwa lengo la kuendelea kutawala nchi hii milele. Nchi wahisani kama Marekani, Uingereza, Japan, Canada, Ujerumani, Nchi za Scandinavia, n..k wangeipitia kwa umakini katiba yote nina mashaka kama wangeendelea kumwaga misaada yao.
 
Naskia hata mapendekezo ya maneno ya kipengele hicho wakati katiba inachakachuliwa kuruhusu mfumo wa vyama vingi yalitolewa na mbunge wa bwagamoyo bw Jakaya Mrisho Kikwete
 
Back
Top Bottom