Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,191
- 12,372
Na wakikozea wanaaanza kukuomba omba pesaMajuzi hapa JF Kuna mdau alipost kuhusu tips lounge kukosa wateja..leo mida ya saa kumi jioni nilienda lounge moja maarufu Sana dar ambayo kwa weekend ukichelewa kidogo unakosa parking au utapata tabu Sana kupata parking.
Nilipofika nilikaa kwenye Kochi huku nikiwa busy na simu lakini hakuna muhudumu aliyekuja baada Kama ya dk 20 Hadi nilipofanya jitihada za kumwita mmoja aliyekuwa anapita..,baada ya kunihudumia second round nikampa fedha hakurudushi chenji zaidi ya saa moja na nusu baadaye nikampata akarejesha. Then nikamwita mwingine nikasema nataka mtu wa chakula naye kapotea moja kwa moja hata hajamwita mtu wa chakula...duuh..nikasema hizo zote scenario tatu zimetokea kwangu, je ni wangapi wamepitia haya nayopitia.?
Je hizi bar na lounge zikiona watu wanajaa usiku wa manane wanadhani wamemaliza kila kitu.?
Sitataja hiyo lounge coz isije ikaonekana naiharibia biashara .