Angalia vyama vya siasa tofauti ya wenyeviti na Makamu wao, tofauti ya Makatibu Wakuu na Manaibu wao.
Mtu akiambiwa pendekeza Makamu analeta mtu weak eti asije kutaka kumpindua. Utapewa mitano ya akina Chacha Wangwe, Zitto, Jidu la Mabanbasi n.k
Hili liko hadi kwa viongozi wa Serikali wanataka Makamu dhaifu na Manaibu Wadhaifu kwa hofu ya kulinda viti vyao.
Kumbukeni kuna kufa na kuna kuumwa au kuwekwa jela n.k
Ngoja tuone je Magufuli nae alikuwa na Makamu wa namna gani? Japo kwenye bunge la katiba alifunika anaweza kuwa Iron Lady.
Mbowe Chama kimelala kwa hofu ya kuwa na Makamu strong. Akifungwa habari imeisha
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Mtu akiambiwa pendekeza Makamu analeta mtu weak eti asije kutaka kumpindua. Utapewa mitano ya akina Chacha Wangwe, Zitto, Jidu la Mabanbasi n.k
Hili liko hadi kwa viongozi wa Serikali wanataka Makamu dhaifu na Manaibu Wadhaifu kwa hofu ya kulinda viti vyao.
Kumbukeni kuna kufa na kuna kuumwa au kuwekwa jela n.k
Ngoja tuone je Magufuli nae alikuwa na Makamu wa namna gani? Japo kwenye bunge la katiba alifunika anaweza kuwa Iron Lady.
Mbowe Chama kimelala kwa hofu ya kuwa na Makamu strong. Akifungwa habari imeisha
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app