Kinachosababisha Ongezeko la Gharama za Internet

RAM .. ROM.. havihusiani na ulaji wa data kuwa mkubwa hata siku moja.. wala hiyo network Generation haihusiani na ulaji kuwa mkubwa kwa namna moja ama nyingine..

Zungumzia swala la OS yaan software husika ya simu/computer husika.. na settings zilizowekwa.. mfn win 7 na win 10 ktk same pc specs aliyeweka win 10 atatumia bandwidth kubwa kuliko aliyeweka win7 kutokana na software resources zinazorun nyuma ya pazia na updates za mara kwa mara..

Hiy hiyo win 10 ukiifanyia settings itatumia bandwidth kiduchu compared to win7 ambayo haijaguswa ktk upande wa settings (cfg)..

Same applied ktk hizi sim janja .. Ios na Android zinatofautiana.. pia hiyo hiyo android ina version nyingi (kernels mbali mbali)

Itoshe kusema kwamba ulaji wa bandwidth unategemea kias kikubwa na OS pmj na Cfg na sio network settings or RAM or ROM.
Ulichosema hapo ni sawa na kusema ukimpa "Vin diesel" Passo, na ukimpa Bugatti Veyron Super Sport: 268 mph. haita athiri speed atakayokwenda nayo.

Ngoja nikufunze kitu ndugu, kuna kitu kinaitwa Consumer behavior towards product features. Simu hapo awali ilikuwa ni kifaa cha kupiga na kupokea voice calls tu.

Leo tume advance tunatumia simu kutazama movie, kuvideo call, kutext kwa qwerty style, kubrowse, games, etc.

Hii inafanya simu kuwa na features nyingi sana ambazo zinaamsha mahitaji mapya ya simu za mkononi.

Hii haja au demand ndio inakuja kuzaa malipo mbali mbali ya vifurushi kulingana na uwezo wa simu yako.

Kama si kweli nambie je, gharama za matumizi ya simu ya kitochi ni sawa na smartphone?! Je features za kitochi ni sawa na smartphone?!

Je features za simu za kisasa hazijachangia uhitaji wa bajeti ya matumizi ya simu tofauti na simu za zamani?!

Kama ulikuwa haujui now umejua.....
 
Ulichosema hapo ni sawa na kusema ukimpa "Vin diesel" Passo, na ukimpa Bugatti Veyron Super Sport: 268 mph. haita athiri speed atakayokwenda nayo.

Ngoja nikufunze kitu ndugu, kuna kitu kinaitwa Consumer behavior towards product features. Simu hapo awali ilikuwa ni kifaa cha kupiga na kupokea voice calls tu.

Leo tume advance tunatumia simu kutazama movie, kuvideo call, kutext kwa qwerty style, kubrowse, games, etc.

Hii inafanya simu kuwa na features nyingi sana ambazo zinaamsha mahitaji mapya ya simu za mkononi.

Hii haja au demand ndio inakuja kuzaa malipo mbali mbali ya vifurushi kulingana na uwezo wa simu yako.

Kama si kweli nambie je, gharama za matumizi ya simu ya kitochi ni sawa na smartphone?! Je features za kitochi ni sawa na smartphone?!

Je features za simu za kisasa hazijachangia uhitaji wa bajeti ya matumizi ya simu tofauti na simu za zamani?!

Kama ulikuwa haujui now umejua.....
Maelezo naomba nitoe mafupi

Soma HEADING yako hapo juu na usome content uliyoandika.. na usome nilichoandika.. alaf ulinganishe ulichokijibu (KITOCHI) /simu isiyo na internet imeingiaje ktk huu mjadala?
 
Upo sawa,the more the smart phones designs advance,the more increase in data usage, yaani tulipokuwa tunatumia simu za 2g tulikuwa tunasoma zaidi maandishi video hazikuwa kwa sana,3g ilituongeza uwezo wa kuangalia video na kudownload mafile makubwa,4g ndo kabisaa imekuja na spidi ya ajabu kwa mda mfupi unaangalia video nyingi na kudownload vitu vya kutosha.
Kabisa mkuu. Umenielewa vema sana. Hapa ni kuongea na kukazia mitandao ya simu wafanye kuongeza packages.... Na watunusuru.

Unakumbuka miaka ya nyuma. Ilikuwa tunatumia simu bila hizi vifurushi yaani sekunde moja tulikuwa tunainunua kwa 15ths.

Unaweka ths 5000 per call na ndio vocha ya chini kabisa kwa wakati huo. Na tukawa tunaona ni sawa tu. Ila baada ya mapinduzi ya tigo leo tuna packages za tofauti kabisa na very cheap.

Sasa na haya ni mapinduzi ya upande wa internet. Ni lazima yatokee mabadiliko ya bundles za Internet.

Yaani tuweze kupata fair bundles kulingana na uwezo wa hizi simu zetu za kisasa.
 
Maelezo naomba nitoe mafupi

Soma HEADING yako hapo juu na usome content uliyoandika.. na usome nilichoandika.. alaf ulinganishe ulichokijibu (KITOCHI) /simu isiyo na internet imeingiaje ktk huu mjadala?
Umenielewa lakini hapo kwenye hii ya pili au?!
 
Swala la Bando Tanzania na Afrika kwa ujumla ni wizi unaohalalishwa na Serikali zenyewe. Mfano Europe watu hawawazi mambo ya bando nk. Serikali za Afrika zinatakiwa kuamka na kufahamu zinatakia kufanya nini.
 
Ukweli ni kwamba ulichoandika kama kichwa cha habari na ulichoandika ndani ni hoja mbili tofauti kabisa, hivi gharama za matumizi ya internet na kasi ya internet zinamahusiano hani mkuu ?
Hebu tazama ni kweli kuvaa nguo nzuri ni lazima siku ya siku kuu tu ?
 
Swala la Bando Tanzania na Afrika kwa ujumla ni wizi unaohalalishwa na Serikali zenyewe. Mfano Europe watu hawawazi mambo ya bando nk. Serikali za Afrika zinatakiwa kuamka na kufahamu zinatakia kufanya nini.
Bundle inatakiwa kuwa sawa na maji.
 
Ukweli ni kwamba ulichoandika kama kichwa cha habari na ulichoandika ndani ni hoja mbili tofauti kabisa, hivi gharama za matumizi ya internet na kasi ya internet zinamahusiano hani mkuu ?
Hebu tazama ni kweli kuvaa nguo nzuri ni lazima siku ya siku kuu tu ?
Gharama za bundles zinasababishwa na mambo mengi, me nimetaja upande wa uwezo wa simu kuathiri matumizi ya bundles.

Ila kuna kodi za serikali na tozo zinasababisha mitandao ya simu kupandisha bei za vifurushi vile vile na kuvifana kuwa vya gharama.

Sijui kama umenipata lakini. Tatizo ni moja visababishi ni vingi.
 
Gharama za bundles zinasababishwa na mambo mengi, me nimetaja upande wa uwezo wa simu kuathiri matumizi ya bundles.

Ila kuna kodi za serikali na tozo zinasababisha mitandao ya simu kupandisha bei za vifurushi vile vile na kuvifana kuwa vya gharama.

Sijui kama umenipata lakini. Tatizo ni moja visababishi ni vingi.
Kwa mujibu wa kichwa cha habari cha hoja yako, kinachoonekana hapo ni gharama za matumizi ya internet lakini siyo matumizi matumizi ya internet kulingana na device,, wengi sisi tunatumia computer kuunganisha na simu na simu ikatumika kama modem lakini tunauwezo wa kuingia zoom kwa muda wa masaa mawili kwa kutumia halotel kwa bundle la GB moja kwa shilingi 1000 bila internet kukata, ila leo wanakuja watu wanashusha kifurushi kutoka GB moja hadi MB 600 na kuongea dakika thelathini mitandao yote ambazo hazikuwepo na kupunguza dakika 10 halotel kwenda halotel, ukitazama sababu kama hizo unagundua kuwa kuna jambo halipo sawa, moja labda mitandao ya kijamii inatumika sana kama jukwaa huru la kukosoa baadhi ya watu ama kuna watu ambao hawawatakii mema watumiaji wa internet Tanzania au wanataka tu maisha ya watanzania kuwa magumu
 
Kwa mujibu wa kichwa cha habari cha hoja yako, kinachoonekana hapo ni gharama za matumizi ya internet lakini siyo matumizi matumizi ya internet kulingana na device,, wengi sisi tunatumia computer kuunganisha na simu na simu ikatumika kama modem lakini tunauwezo wa kuingia zoom kwa muda wa masaa mawili kwa kutumia halotel kwa bundle la GB moja kwa shilingi 1000 bila internet kukata, ila leo wanakuja watu wanashusha kifurushi kutoka GB moja hadi MB 600 na kuongea dakika thelathini mitandao yote ambazo hazikuwepo na kupunguza dakika 10 halotel kwenda halotel, ukitazama sababu kama hizo unagundua kuwa kuna jambo halipo sawa, moja labda mitandao ya kijamii inatumika sana kama jukwaa huru la kukosoa baadhi ya watu ama kuna watu ambao hawawatakii mema watumiaji wa internet Tanzania au wanataka tu maisha ya watanzania kuwa magumu
Hilo lipo na ni ukweli. Nimeshaliandikia nyuzi kama tatu hivi.

Hili la leo sikuwa nazungumzia matumizi kuwa ya gharama kulingana na sera za serikali kwa makampuni ya simu au makampuni ya simu kuchezesha bei za vifurushi huku wakipunguza ujazo.

Uzi huu ulilenga namna advanced smartphones na apps zake zinafanya matumizi ya data kuwa juu. 1GB kwenye simu ya zamani ungeitumia hadi basi ila kwa sasa ni mtihani inakatika haraka sana.

So nimemaanisha bundles zinatakiwa kuongezewa ujazo na ikibidi tuanze tumia mfumo wa unlimited packages za data.
 
Hilo lipo na ni ukweli. Nimeshaliandikia nyuzi kama tatu hivi.

Hili la leo sikuwa nazungumzia matumizi kuwa ya gharama kulingana na sera za serikali kwa makampuni ya simu au makampuni ya simu kuchezesha bei za vifurushi huku wakipunguza ujazo.

Uzi huu ulilenga namna advanced smartphones na apps zake zinafanya matumizi ya data kuwa juu. 1GB kwenye simu ya zamani ungeitumia hadi basi ila kwa sasa ni mtihani inakatika haraka sana.

So nimemaanisha bundles zinatakiwa kuongezewa ujazo na ikibidi tuanze tumia mfumo wa unlimited packages za data.
hapo nimeelewa mkuu
 
Ni takriban mwezi mmoja umepita nilikuwa nanunua 2.5 Gb za airtel kwa Tshs 3,000 kwa wiki, na sasa the same price napata 2.2 Gb, je unalizungumziaje hili
 
Umeeleza vizuri kabisa, background data, quality ya videos, speed ya internet, ubora wa simu, vyote hivi vinachangia bundle kuisha haraka.

Imagine zamani unatumiwa picha ina 45kB, leo ni ngumu kwa quality ya camera za simu zetu kupiga picha ya 45kB, utashangaa picha ina 4MB au zaidi, ukidiwnload picha kumi tayari 40MB zimekata.
 
Haujaelewa. Kubali umefeli kuelewa. Ngoja nikupe mfano, ukielewa logic iliyopo ndani yake utaweza kureason vema.

Mfano wewe umeajiriwa na kampuni X, wamekwambia moja ya benefits za ajira yako ni watakulipia gharama za usafiri kwa kukulipia gharama za mafuta ila sio kwa kukupa pesa mkononi bali kwa kulipa Straight kwenye hiyo kampuni ya mafuta (petrol station )
Wewe unatumia IST, ambayo tank yake full ni lita 45 za ujazo. Na hayo mafuta kwa matumizi yako tufanye ni yanamaliza mwezi mzima hadi mshale kusoma empty na wewe kutakiwa kwenda tena sheri kujaza.

Sasa ulikuwa unatumia vema tu bila shida wala kufeel any pinch maana mafuta yanakutosha kwa mwezi hizo lita 45 zinatumika na hata mwezi muda mwingine unaisha ukiwa haujamaliza yote hayo mafuta.

Sasa maisha yanakukalia vema na unaamua kunanunua Gari mpya lets say Crown au Nissan Fuga. Jini makata . Mbali tu ya kuwa na consumption kubwa ila lina ujazo mkubwa zaidi wa 50, lita 5 zaidi ya IST yako ya zamani.

Je , ukienda sheli, utapata full tank kwa mujibu wa bili unayowekewa na ofisi yako?!

Pili, Je, uendeshaji wa IST ambayo ni 1200cc,namna itakula zile lita 45 za full tank utakuwa sawa na uendeshaji wa Crown Ambayo ni 2997 cc ambayo mbali na kuwa itakunywa zaidi mafuta , ila haitakuwa ikijaza full tank kama Ist yako ya awali?!

Je, tuassume hiyo kampuni yako inalipa bili yako ya mafuta sambamba na bei hizi za kilanguzi za serikali, bila kuathiriwa na mabadiliko ya bei za mafuta wao wanalipia zile lita 45 upate kila mwezi.

Je, utakuwa unamaintain uendeshaji ule ule kama wa IST au utasema hao sheli unapoweka mafuta wanakuibia mafuta wanapoweka?!


Kama uwezo wako wa logic upo vema ukiweza kuconnect logic hapo na ya topic then jua wewe upo na reasoning capacity ya IQ kubwa na wakiitwa watu wenye uwezo wa kiakili na wewe toka mbele bila kuangalia nyuma.
Asipoelewa hapa basi tena!
 
Back
Top Bottom