kurekebisha chama ni jambo muhimu ili maendeleo yapatikane , lakini ieleweke pia kuwa kuongoza sikazi rahisi,unapoangalia uchezaji wa mpira ukiwa nje ya kiwanja unaona kila saa watu wanapiga kilele aaaaaaa
kama vile mchezaji amekosea angetakiwa afanye vile unavyoona wewe ulie mbali, lakini ukiwemo humo ndani ya kiwanja utacheza vibaya sana, maana wale ni the best players ndio maana wako pale, naamini mnanielewa.
Chadema ni chama cha kikabila nani kabila lenye nguvu maana wamesoma zaidi na mapema zaidi ya makabila mengine, kwa maanahii nchi jirani ina tatizo hilo na wate tunaliona mnataka kuleta matatizo haya kwa nchi hii jamani hebu zindukene acheni kushabikia umwagaji damu na umasikini endelevu wakati huo huo kabila hilo likiendelea KUTAJIRIKA kupita kiasi ZINDUKENI. TUIKOSOE CCM TUKIWA NDANI YA CCM KWA KUGOMBANIA MADARAKA TOKEA NGAZI ZA UBALOZI TUACHE KUJIONA ILI MLIOSOMA MLETE MABADILIKO YA KWELI.
kama vile mchezaji amekosea angetakiwa afanye vile unavyoona wewe ulie mbali, lakini ukiwemo humo ndani ya kiwanja utacheza vibaya sana, maana wale ni the best players ndio maana wako pale, naamini mnanielewa.
Chadema ni chama cha kikabila nani kabila lenye nguvu maana wamesoma zaidi na mapema zaidi ya makabila mengine, kwa maanahii nchi jirani ina tatizo hilo na wate tunaliona mnataka kuleta matatizo haya kwa nchi hii jamani hebu zindukene acheni kushabikia umwagaji damu na umasikini endelevu wakati huo huo kabila hilo likiendelea KUTAJIRIKA kupita kiasi ZINDUKENI. TUIKOSOE CCM TUKIWA NDANI YA CCM KWA KUGOMBANIA MADARAKA TOKEA NGAZI ZA UBALOZI TUACHE KUJIONA ILI MLIOSOMA MLETE MABADILIKO YA KWELI.