Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,724
- 19,866
kama jaba mimi ni mwendo wa sonny sound bar,home theatres yaani unasikia ki utility ya beatSabufa linalia kama dumu la maji
kama jaba mimi ni mwendo wa sonny sound bar,home theatres yaani unasikia ki utility ya beatSabufa linalia kama dumu la maji
😂😂
Sabufa linalia kama dumu la maji
Ukubwa wa music sio issue,tunataka quality nzuri na sound isiyoumiza na inayosikika vizuriWanadai maskini wengi wanashadadia subwoofer na sauti kubwa ya mziki kwenye nyumba zao.
Sijui ni kweli?
Kabisa mkuu...mtu kwa mwaka ananunua sabufa kama nyanya,sa kwa nin asijilipue na kuchukua kifaa cha maana badala ya kuokota okota mizikiKununua vitu vya Bei rahisi Kuna gharama kubwa.
Unaweza kuharibu vitu vyako vya thamani kwa sababu ya kuweka ndani vitu visivyo na ubora na visivyo salama
😆😆yazibe mlio wa demu ukiwa unampelekea moto kwenye nyumba za kupanga.
sh.ngapi hiiThe Bluetooth Device is ready to pair.
The Bluetooth Device is Connected Successfully.
View attachment 1765834
Mara 1m ununue mtumba tu kama hela yako haitoshi kuliko kuchukua izi sabufa,saivi zinaizwa kama 🍅Nilinunua redio ya mtumba (Sonny) saiz ina miaka karibia mitano inapiga kazi.
sh.ngapi hizoMimi natumia speaker za beats by dre
Kna mwanangu mmoja wangu sana alijipunduaga,uzalendo ulinishinda
Ikabidi nimpige tu ...ila nlikuja mwambiaga
Baada ya muda alicheka sanaa
Ova
sh.ngapi hizo
sh.ngapi hii