Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,822
Rafiki wa kiume nafahamiana nae tangu enzi za darasa la kwanza. Tuliepotezana kwa muda mrefu tu, ikatokea tukakutana tena njiani, nadhani mwajua furaha inayokuwa kwa watu mliopotezana muda mrefu.
Tulibadilishana namba na since then tukawa tunachart vizuri tu tukapanga tuonane tupige stori vizuri weekend. Nimelala usiku sa8 kasimu kanaita, "hallow, uniachie bwana angu, tena ukome kumtumia messeji nakwambia utaona nikikujua wewe nani, najua sana P malaya anapenda sana ngono, mimi hivi kwanza naishi nyumbani kwao na nina mimba yake nakuroga nakwambia..." nikamjibu tu "haya ,ila umemuiliza huyo so called bwanako mi ni nani kwake?" kigugumizi.....nikaona huyu mjinga hebu nilale..
Nilichokiona hapo mpaka nikaona nilete hapa ni kwamba, hiyo ni weakness ya wanawake wengi wajinga. Ukiona nawe huwa unakurupuka hivyo jione mjinga.
Mahusiano ya sikuhizi tunajua ni majanga japo yaliyomema pia yapo, kama mdada/mke sijui unahisi mumeo /mchumba/beb anakoroga mambo huna sababu ya kuanza kujipa presha na mwanamke mwenzio we deal na huyo mwanaume wako, huyo mwanaume ndiye aliyeenda kumtongoza mwenzio labda.
Kwa wale ambao wanataka kweli usilogwe kumpayukia mwanamke mwenzio hapo unakuwa unampa chance ya kukuvuruga akili na atakuvuruga mpaka, wengine kama ngumi sijui bifu wanakuwa wamezaliwa nazo, ndo yale mali yako na kipigi chako.
Na kwa akili hiyo ya ndege unaweza ukamwaribia mume/mchumba beb sijui kazini..unatukana mtu kumbe ni boss wake NANI ANAKUWA KAMKOMESHA MWENZIE HAPO.?
Ni hayo tu....
Tulibadilishana namba na since then tukawa tunachart vizuri tu tukapanga tuonane tupige stori vizuri weekend. Nimelala usiku sa8 kasimu kanaita, "hallow, uniachie bwana angu, tena ukome kumtumia messeji nakwambia utaona nikikujua wewe nani, najua sana P malaya anapenda sana ngono, mimi hivi kwanza naishi nyumbani kwao na nina mimba yake nakuroga nakwambia..." nikamjibu tu "haya ,ila umemuiliza huyo so called bwanako mi ni nani kwake?" kigugumizi.....nikaona huyu mjinga hebu nilale..
Nilichokiona hapo mpaka nikaona nilete hapa ni kwamba, hiyo ni weakness ya wanawake wengi wajinga. Ukiona nawe huwa unakurupuka hivyo jione mjinga.
Mahusiano ya sikuhizi tunajua ni majanga japo yaliyomema pia yapo, kama mdada/mke sijui unahisi mumeo /mchumba/beb anakoroga mambo huna sababu ya kuanza kujipa presha na mwanamke mwenzio we deal na huyo mwanaume wako, huyo mwanaume ndiye aliyeenda kumtongoza mwenzio labda.
Kwa wale ambao wanataka kweli usilogwe kumpayukia mwanamke mwenzio hapo unakuwa unampa chance ya kukuvuruga akili na atakuvuruga mpaka, wengine kama ngumi sijui bifu wanakuwa wamezaliwa nazo, ndo yale mali yako na kipigi chako.
Na kwa akili hiyo ya ndege unaweza ukamwaribia mume/mchumba beb sijui kazini..unatukana mtu kumbe ni boss wake NANI ANAKUWA KAMKOMESHA MWENZIE HAPO.?
Ni hayo tu....