Godo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 956
- 1,316
Kwahiyo wanotetea maslahi ya walimu nao ni walimu au una chuki na askari.Kumbe nyie ni mapolisi ehh?
Kwahiyo wanotetea maslahi ya walimu nao ni walimu au una chuki na askari.Kumbe nyie ni mapolisi ehh?
Pot si leo pesa inaingia auKikwete enzi zake aliingia mkataba na mabenki ili walipe mishahara na posho kwa tarehe waliyopewa ili Serikali ikichelewa kukusanya mapato mabenki yanasaidia kutoa mishahara na posho, posho zilikuwa zinalipwa tarehe 15 ya kila mwezi.
Mwendazake alipokuja akasema kuna wizi na gharama, akasema pesa zipo, tarehe ya posho akaipeleka hadi 30 ya kila mwezi. Hata hivyo hakufika mbali alijikuta tarehe zinapitiliza pamoja na kuwa ilikuwa mara kwa mara.
Hadi tarehe ya leo posho za askari hazijatoka, ikitoka mchana wa leo sawa ila tumuenzi Kikwete kwa maamuzi yake yalikuwa yanasaidia sana na malalamiko ya kupitiliza mishahara na posho haikuwepo. Mnyonge mnyongeni ila mpe chake kwa muda ambao ana njaa.