thehunk
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 527
- 221
naomba nianze kusema kwa kauli ya mwal. julius kambarage nyerere alisema dhambi ya ubaguzi haiwezi kuisha mara tu
unapoanza kumbagua ndugu yako kwa kusema wao ni wao ni sisi ni sis ndugu wana jf hali ni tete sana nchini sudan ya
kusini ,ila ninachokiona kwa hawa ndugu zetu ni dhambi ya ubaguzi ya kuona kuwa kuna north sudan na south
sudan...sasa vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ni kutokana na makabila kumi na saba tu na kuona kuwa kuna
wengine wanapendelewa na ile kitu inaitwa 'uneven distribution of national wealth' lakini ukiangalia kwa undani ni
ubaguzi tu ndio unasisi na u wao ndio unawasumbua najiuliza tu je wangekuwa na makabila zaidi ya 120 kama hapa
tanzania ingekuaje ? hapo ndio ninapomshukuru sana nyerere kwa kuweza kuyangungisha haya makabira mpaka hali ya
usisi na u wao hapa kwetu haipo kabisa
mwisho kabisa kushangazwa na propaganda ya vyombo vya habari vya mataifa yaliyoendelea kwa kuwahusisha north sudan kwamba wana wa finance waleta vita hawa wa south sudan
unapoanza kumbagua ndugu yako kwa kusema wao ni wao ni sisi ni sis ndugu wana jf hali ni tete sana nchini sudan ya
kusini ,ila ninachokiona kwa hawa ndugu zetu ni dhambi ya ubaguzi ya kuona kuwa kuna north sudan na south
sudan...sasa vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea ni kutokana na makabila kumi na saba tu na kuona kuwa kuna
wengine wanapendelewa na ile kitu inaitwa 'uneven distribution of national wealth' lakini ukiangalia kwa undani ni
ubaguzi tu ndio unasisi na u wao ndio unawasumbua najiuliza tu je wangekuwa na makabila zaidi ya 120 kama hapa
tanzania ingekuaje ? hapo ndio ninapomshukuru sana nyerere kwa kuweza kuyangungisha haya makabira mpaka hali ya
usisi na u wao hapa kwetu haipo kabisa
mwisho kabisa kushangazwa na propaganda ya vyombo vya habari vya mataifa yaliyoendelea kwa kuwahusisha north sudan kwamba wana wa finance waleta vita hawa wa south sudan