Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,105
- 26,565
unasema hana haki kisheria ya kufungisha ndoa? Kivipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchungaji Msigwa hana hata haki kisheria kufungisha ndoa kwa hiyo hilo kanisa lake analomiliki sijui ni kanisa la wafuasi gani, hata hivyo kama Msigwa na yeye ni Mxhungaji basi Mungu ana kazi ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app