Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #21
tanua akili yako utajua.Hivi upinzani utasumbuaje nchi?
tanua akili yako utajua.Hivi upinzani utasumbuaje nchi?
hahah ccm ni baba la baba kwa uongo!!!!!!!!tatizo kubwa ndani ya chadema ni uongo.
tanua akili yako utajua.
Endelea na mada yako hewa. Kama upinzani ni hewa mbona mkulu na nyinyi wafuasi wake kila siku mizengwe tu hivi kweli mnapoteza wakati kudeal na vyama hewa? BYEkama wewe ni hewa ni lazima uweweseke.
Anakera kila mara anatafuta njia za kum provoke Sa8 na kuna thread humu kuwa alikuwa mchepuko na akatoswa, hivyo inaonyesha alikuwa anapata vitu adimu ndio maana hamsahau na kila wakati lazima amu attackKama wewe kaka ake itakuwa kaka poa yaani unajua dadaako alikuwa anapata vitu adimu Na sasa anavikosa, enyi kizazi cha mwendo Kasi wekeni ABS.
Lazima tukiri tu katika siasa za vyama vingi tulifika pazuri lakini kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita tumerudi nyuma miaka 24. Kazi kuu ya upinzani si kuombea nchi mabaya au kufurahia majanga bali ni kukosoa serikali kwa hoja na mantiki.
Kwa Tanzania sasa hatuna upinzani bali tuna kundi la 'wachawi', walioyaunga mkono miaka iliyopita sasa hawayataki. Hawataki kuona maboresho katika miundombinu,nishati,udhibiti wa rushwa nk. Kuna tatizo la msingi hapa na kama lisipofanyiwa kazi basi hakutakuwa na tija ya kuwa na upinzani, wananchi kila kukicha wanakata tama na upinzani. Kada maarufu wa upinzani amesisitiza kuwa reli haina umuhimu, mwingine leo ameandika kiwanda cha Dangote ni hatari kwa uchumi wa Tanzania,Mwingine hataki kuona Tanzania ikinunua ndege, hawapendi kuona mamboresho kwenye sekta ya elimu wamesusa hata kuchangia kwa hali na mali wao wanasubiri kukosoa.
Tatizo hili limezidi kuwa sugu na kusababisha baadhi ya vijana kuacha kutumikia serikali katika Nyanja mbalimbali na kuamua kuwa omba omba kwa wanasiasa kwa kigezo cha 'ukamanda'.Kunahitajika msaada hapa wasiachwe waangamie hawa.
Karibu tujadili.Kinachoisumbua Tanzania kwa miaka zaidi 50 ni UJINGA, MARADHI na UMASKINI. You have to get the facts right...usituhangaishe na matatizo hewa huku ukiacha matatizo ya kiukweli..