FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,121
- 107,609
Unanletea hadithi ya kusadikika ya Orwell, ni literature nzuri sana na mfano halisi wa wale wanyama ni upinzani wa Tanzania.Hujakosea.Ndio maana rahisi kukuhamishia kwangu kuliko uweze nijibu KWANINI KWA MIAKA 50 CCM WANAWEZA KTAMKA UZALENDO ILA HAWAJAWAHI UELEWA. Punda ktk animal farm hakuwahi weza jifunza Alphabet zaidi ya A-D, akifika D anakuwa kachoka sana, ingawa anapania lazima afike Z. Ila nahitaji kurudia.Akirudia Kesho yake anapojaribu kujikaririsha akifika D ,anakuwa hoi tena. Hana tofauti na watanzania wanaosoma mitihadi ya board mbalimbali na walimu. Hawafiki Z ya hayo maeneo.Sasa utaelewaje taaluma za watu kwa kuiba vitabu vyao vyenye herufi ambazo zimezidi D? UZALENDO HADI YESU AJE WAJAMAA HAWATAKAA WAUJUE ACHILIA MBALI VITU KM MIKATABA,DEMOCRASIA,BANKING,ECONOMY,SHERIA KWA UJUMLA WAKE etc. wtajisifia kwa kuweza fika na usingizi mdogo.Siku wakikutana na walifika Z,wakapelekwa hadi G tuu msuli unawabana.
Hamna fikra hata chembe halafu CCM wachukuwe ipi? Fikiri.