Kinachoikumba Shule ya Mt. Jude: TRA waliondoa 500,000,000 kwenye akaunti za Shule

Hicho ndio kiini chenyewe.
Watu wengi Arusha wanajua kisa kilianzia siku Magufuli alipokuja Arusha kwenye kampeni na waendeshaji wa shule ya St. Jude wakagoma kuswaga wanafunzi wake kwenda Sheikh Amri Abeid kuongeza idadi ya wahudhuriaji kwenye mkutano wa CCM.

Wamiliki wa shule waliweka wazi kuwa, shule yao haina itikadi yoyote ya vyama vya siasa, uongozi wa shule haukuwa na mamlaka ya kuwahusisha kwa lazima wanafunzi wake kwenye itikadi za vyama na mwisho uongozi wa shule hauwezi kuhahakisha usalama wa wanafunzi wake kwenda uwanjani.

Yote kwa yote, chuki ya serikali ya Magu dhidi ya ukanda wa Kaskazini ni kubwa mnoo, St. Jude huenda ni miongoni mwa taasisi za Elimu zilizokuwa zinawindwa kuangamizwa kwa muda mrefu sana, maana ni miongoni mwa taasisi za mtaji wa kimaendeleo ya kijamii kwa kizazi cha watoto na vijana waliopo kanda ya Kaskazini.
Mm bado napenda kuelimishwa kwa wale wanaoijua shule hii watueleze vzr ukweli wa sakata hili.Naamini kuna watu wanaoijua ukweli hasa wazazi waseme nao sababu ndio wahanga wakubwa wa sakata hili.
 
Sasa kodi hapo inaingiaje wakati wafadhili wameamua kusomesha watanzania sasa hiyo kodi inatokana na biashara gani inayofanyika hapo hakuna mtu yeyote anayeuziwa huduma. Au huelewi kodi ni kitu gani. Kwanini watanzania tunakuwa mazezeta kiasi hiki. Watu wamejitolea kusomesha watoto wetu bado tunashindwa kushukuru tuna matatizo gani.
Kweli inasikitisha ila swali kwako, wewe una uhakika hawana kipato kinachowafanya wastahili kulipa kodi? Nadhani tuweke hisia pembeni na jikite kwenye kupata taarifa zote kuhusu issue hii.
 
Sasa kodi hapo inaingiaje wakati wafadhili wameamua kusomesha watanzania sasa hiyo kodi inatokana na biashara gani inayofanyika hapo hakuna mtu yeyote anayeuziwa huduma. Au huelewi kodi ni kitu gani. Kwanini watanzania tunakuwa mazezeta kiasi hiki. Watu wamejitolea kusomesha watoto wetu bado tunashindwa kushukuru tuna matatizo gani.
Kweli inasikitisha ila swali kwako, wewe una uhakika hawana kipato kinachowafanya wastahili kulipa kodi? Nadhani tuweke hisia pembeni na jikite kwenye kupata taarifa zote kuhusu issue hii.
Chama kimeamua
 
Ilikuwaje TRA walikanusha kuchota pesa kutoka kwenye akaunti bila idhini ya mwenye akaunti, benki husika lazima ieleze.
Pia mm napenda kujua TRA bila kufuata taratibu za kisheria wanaweza kuchota pesa ya taasisi yoyote ile endapo wanabaini irregularities?
 
Ilikuwaje TRA walikanusha kuchota pesa kutoka kwenye akaunti bila idhini ya mwenye akaunti, benki husika lazima ieleze.
Pia mm napenda kujua TRA bila kufuata taratibu za kisheria wanaweza kuchota pesa ya taasisi yoyote ile endapo wanabaini irregularities?au kuna provisions zinazoipa nguvu TRA kufanya hivyo?
 
Hebu Tusikie kutoka kwa ST. Jude alumni... Maana kwa mujibu wa Tovuti.. kuwapata wanafunzi 150kila mwaka they have to go through a rigorous selection process... From not only in Arusha but also different places across Tanzania.

Hawa wanufaika wako wapi waseme ni kweli hawalipi Ada!? Na wafanyakazi hawa 300+ waseme ni kweli they make an average of 1.6m a month in salaries!? Maana huko kwao charity donation zinakuwa deducted kwenye kodi zao..

Isije ikawa tunaaminishwa the spending is so high.. wakati they are making money back for running it as business in the backgrounds... Wakati huo huo wanaandika expenses kubwa wanapeleka kwao tunaonekana tumepokea misaada wanasamehewa kodi.. na wakati pesa zetu wenyewe..
Hvi wabongo mbona hamuelewi, wamesema waliandaa schedule ya kulipa deni itakayowalazimu wanafunzi waanze kulipa ada yaani kutoa michango ila TRA haikua interested hata kujibu hiyo schedule ya kulipa deni?

Sasa whether kuna fraud yoyote why wawakatalie proposal yao? Ina maana individual wa taasisi wakiiba inayobanwa ni taasisi au individuals wanaoenda kinyume na sera ya shule?

Embu ukipiga Cost-benefit analysos ya kuifunga hyo shule kisa deni la kodi unaona ni sawa? Kuna vitu vingine bora utoe exemption tu kwa kuangalia hasara zake hasi sio kila kitu kuangalia mapato tu.
 
Shule ya bure unauliza kodi gani boss? Malimbikizo kwani wanafanya biashara?
Kama nilivyosema kuna compulsory taxes hata Kama ni NGO.Mojawapo ni PAYE hiyo huwezikwepa,NHIF,PSSSF, nk ni compulsory so you don't evade or avoid it.
 
Maelezo mazuri lakini yana mapungufu. Kwa kuwa wameamua kutoa malalamiko yao kwa umma maana yake wameshindwana na serikali, sasa basi, ili umma tuweze kutoa 'hukumu'ya haki ingekuwa Vema na Haki wakaainisha kodi wanazodaiwa na malimbikizo yake na Kwanini walilimbikiza.

Vinginevyo tukianza kuilaumu serikali bila kujua Hoja za pande zote mbili itakuwa tumekosa maarifa na busara
Hivi unaelewa maana ya FBO?
 
Sasa kodi hapo inaingiaje wakati wafadhili wameamua kusomesha watanzania sasa hiyo kodi inatokana na biashara gani inayofanyika hapo hakuna mtu yeyote anayeuziwa huduma. Au huelewi kodi ni kitu gani. Kwanini watanzania tunakuwa mazezeta kiasi hiki. Watu wamejitolea kusomesha watoto wetu bado tunashindwa kushukuru tuna matatizo gani.
Ndg kuwaabia watu mazezeta ni kutokuwa na elimu ya kodi ,tofauti kati ya shule hii na shule zingine ni source of revenue (chanzo cha mapato),shule zingine wazazi/walezi wanalipa ada ,kwenye shule hiyo gharama zipo wazi kabisa ,serikali inachotaka ni asilimia kadhaa ya faida wanayopata ,mapato ukitoa matumizi ,ndg serikali kwa hili haijamuonea MTU
 
PAYE = Pay as you earn


Kama hawapati kitu wanakatwa nini sasa?
Hapo wanaopaswa kukatwa kodi ni waajiriwa wa hiyo Taasisi kwakua wanalipwa Mishahara na siyo Taasisi yenyewe.
Taasisi ni wakala Kama alikuwa anakata na hawakilishi TRA ni tatizo na ujue hiyo ni direct tax Kama vile bima ya afya, PSSSF nk.
 
Ndg kuwaabia watu mazezeta ni kutokuwa na elimu ya kodi ,tofauti kati ya shule hii na shule zingine ni source of revenue (chanzo cha mapato),shule zingine wazazi/walezi wanalipa ada ,kwenye shule hiyo gharama zipo wazi kabisa ,serikali inachotaka ni asilimia kadhaa ya faida wanayopata ,mapato ukitoa matumizi ,ndg serikali kwa hili haijamuonea MTU
Haya mkuu nisemeje mimi?

Kabla ya watu kujiunga JF tumieni questionnaire ili tupate watu waelewa
 
Napata wasi wasi na kuhisi kwamba hii shule inatoa elimu kwa ubaguzi na kwa upendeleo, pia hata ajira nazo Ni mfumo huo huo Mbovu. Ndo Mana Lungu limeanza kuwapitia. Tungeona na majina na waajiliwa wa shule hii tungeprove kwamba Ni kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mkuu nisemeje mimi?

Kabla ya watu kujiunga JF tumieni questionnaire ili tupate watu waelewa
Jambo ambalo hawajaweka wazi st Jude wanataka kusema wao wana raise budget kisha wafadhili wa ndani na nje wanatoa pesa kulingana na budget hakuna faida wanayopata ,ndg kwakuwa hapa atujuani nikwambie tu shule hiyo inapata faida kweli kweli ,ujanja ni mwingi wa mama wa ki Australia (mmiliki)
 
Well....

Ila ni kwanini WALIKUWA HAWALIPI KODI KWA WAKATI mpaka kufikia hayo?!!!

Je fedha walikuwa hawapati...?
Je fedha walikuwa hawatumiwi?

Isije ikawa BAADHI ya Watumishi wenye nafasi kubwa walikuwa "wananufaika binafsi" kupitia MRADI WA SHULE.....

Isije ikawa BAADHI ya WATUMISHI NGULI wanafanya MONEY LAUNDERING ....

Hayakuwa mageni kwa BAADHI YA TAASISI ZA KIDINI kuingiza MIZIGO BINAFSI YA KIBIASHARA isiyolipa kodi kwa kuwa tu walikuwa na TAX EXEMPTIONS....
Ushaambiwa waligoma kupeleka watoto sheikh amri abeid kwenye kampeni za magufuli Kwa hyo sa iv wanashugulikiwa.
 
BWANA WAACHE NA WAENDE KWAO, NA HAO WANAFUNZI WAKAE NYUMBANI AU WAZAZI WAO WAPAMBANE KAMA WAZAZI WENGINE, TUSICHOSHANE BWANA, SERIKALI IMEAMUA, BASI, KATI YA HAO WAZAZI WENGI TU WANAUNGA JUHUDI, SASA WASIWE WANAFIKI, SERIKALI NAYO INATAKA KODI, THEY HAVE TO OBEY ..... MBUMBULA, MBULALA, WAFUNGE SHULE!
Mataga
 
Bishop Rashid Gwaji na yeye alipe kodi kwa mradi wake wa kufufua misukule maana wahudumiwaji huwa wanalipa hela (sadaka) kila wanapohudhuria ibada
 
Ziko Shule ambazo ZIMESAJILIWA kuwa ni za MAYATIMA...

Looh ajabu kubwa zinawachanganya mpaka watoto wanaolipiwa ADA NA WAZAZI...huku Wizara ya elimu ikiendelea kuamini kuwa watoto 100% wanafadhiliwa....

THINK THRICE
Naina koment ya kumi hii unatetea serikali bila kuweka angalizo ...vp na wewe upo kwenye system unakula mema ya nchi?
 
Back
Top Bottom