GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
hizi siku mbili tatu nimekuta threads nyingi sana zikihusiana na mwanamke mmoja anayeitwa lulu.binafsi sikuwa nikimfahama mpaka hizi week mbili tatu nilipoona kila sehemu anazungumziwa na nikataka kumfaham. inasemekeana alikuwa anatembea na msanii sijajua wa kitu gani aliyekuwa akiitwa kadumba. na kuwa kuwa na mahusiano yao ndipo siku moja katika hali ya ugomvi huyo kadumba alianguka na kupoteza maisha yake.
kwa mujibu wa maelezo inasemekana kuwa wakati huo huyo lulu alikuwa na miaka 16. sasa hapo ndipo nilipoanza kuona shida kwa wazazi wa huyu binti.
miaka 16 ina maana alikuwa bado anapaswa kuwa shule. je wazaz wake waliruhusu vipi huyu mtoto awe anabakwa?
tuseme huyu binti alianza shule akiwa na miaka 6 darasa la kwanza ukiongeza na miaka 7 alimaliza darasa la saba akiwa na miaka 13. hapo akaanza kidato cha kwanza. 13 ongeza miaka 4 ina maana likuwa kidato cha nne wakati huo akiwa na mahusiano na huyo kijana ambaye inasemekana tayari alikuwa ni mkubwa.
siku ya tukio inasemekana ilikuwa ni usiku kwa maana ya kuwa huyo binti hakuwa akilala kwao na uhusiano wa hawa watu si kwamba ndo ulikuwa umeanza siku hiyo. kwa maana ya kuwa inawezekana ulianza miaka miwili au mmoja nyuma akiwa mdogo kabisa. na hawa wazazi wake walikuwa wapi kumuacha mtoto wa kike mdogo mpaka mida hiyo hayupo nyumbani? yupo kwa mwanaume? je baba na mama wa mtoto huyo wana akili sawa sawa?
nadhani kuna haja ya kuwashtaki hawa wazazi kwa kutokuwa makini katika kutunza mtoto wao. maana sijawah sikia kama walilalamika kuwa mtoto wao anabakwa au haonekani nyumbani. je sheria za nchi zinasemaje kwa wazazi wasiojali watoto wao? kwa mtu aliye chini ya miaka 18 huyo bado ni mtoto na yupo chini ya uangalizi wa wazaz. je kama angekuwa lulu ndo amefariki ha wazazi wasingefungua kesi mahakaman ya mtoto wao kuuawa? kesi ya kuwa mtoto waoa libakwa? kwa nini wao kwa sasa waachwe salama?
hii inaleta dhana mbaya ya wazazi kutokuwajibika kutokana na matendo wanayofanya watoto wao na mwishowe matendo hayo kupelekea matukio ya kutisha kama haya.kama wazaz wasingekuwa wamemwacha mtoto wao awe na tabia mbaya za kimalaya pengine huyo kadumba asingefariki. ashakum si matusi mtu ambaye anafanya tendo la ndoa kabla ya wakati huyo anaitwa malaya. watu wa lugha mtanisaidia hapo. je wazazi waliridhia mtoto wao afanye umalaya?
kwa mujibu wa maelezo inasemekana kuwa wakati huo huyo lulu alikuwa na miaka 16. sasa hapo ndipo nilipoanza kuona shida kwa wazazi wa huyu binti.
miaka 16 ina maana alikuwa bado anapaswa kuwa shule. je wazaz wake waliruhusu vipi huyu mtoto awe anabakwa?
tuseme huyu binti alianza shule akiwa na miaka 6 darasa la kwanza ukiongeza na miaka 7 alimaliza darasa la saba akiwa na miaka 13. hapo akaanza kidato cha kwanza. 13 ongeza miaka 4 ina maana likuwa kidato cha nne wakati huo akiwa na mahusiano na huyo kijana ambaye inasemekana tayari alikuwa ni mkubwa.
siku ya tukio inasemekana ilikuwa ni usiku kwa maana ya kuwa huyo binti hakuwa akilala kwao na uhusiano wa hawa watu si kwamba ndo ulikuwa umeanza siku hiyo. kwa maana ya kuwa inawezekana ulianza miaka miwili au mmoja nyuma akiwa mdogo kabisa. na hawa wazazi wake walikuwa wapi kumuacha mtoto wa kike mdogo mpaka mida hiyo hayupo nyumbani? yupo kwa mwanaume? je baba na mama wa mtoto huyo wana akili sawa sawa?
nadhani kuna haja ya kuwashtaki hawa wazazi kwa kutokuwa makini katika kutunza mtoto wao. maana sijawah sikia kama walilalamika kuwa mtoto wao anabakwa au haonekani nyumbani. je sheria za nchi zinasemaje kwa wazazi wasiojali watoto wao? kwa mtu aliye chini ya miaka 18 huyo bado ni mtoto na yupo chini ya uangalizi wa wazaz. je kama angekuwa lulu ndo amefariki ha wazazi wasingefungua kesi mahakaman ya mtoto wao kuuawa? kesi ya kuwa mtoto waoa libakwa? kwa nini wao kwa sasa waachwe salama?
hii inaleta dhana mbaya ya wazazi kutokuwajibika kutokana na matendo wanayofanya watoto wao na mwishowe matendo hayo kupelekea matukio ya kutisha kama haya.kama wazaz wasingekuwa wamemwacha mtoto wao awe na tabia mbaya za kimalaya pengine huyo kadumba asingefariki. ashakum si matusi mtu ambaye anafanya tendo la ndoa kabla ya wakati huyo anaitwa malaya. watu wa lugha mtanisaidia hapo. je wazazi waliridhia mtoto wao afanye umalaya?