Lao Tzu
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 217
- 329
Nimeshangaa sana coz lile tukio lilitrend km wiki mbili hivi media zote tv, radio na social networks ila hakujua lkn hukumu ya jana tu kajuaJamaa kaibuka toka kuzimuni
Nimeshangaa sana coz lile tukio lilitrend km wiki mbili hivi media zote tv, radio na social networks ila hakujua lkn hukumu ya jana tu kajuaJamaa kaibuka toka kuzimuni
adhabu anastahili sana ili iwe fundisho kwa watoto wengineKabisa kabisa, katoto kalikuwa "abused" kabla hakajakomaa, wazazi walifaidika na haka katoto kutumia mwili wake, hata adhabu kaliyopewa hakastahili, kalitakiwa kaende kutibiwa kwanza, na maneno mtaani siyo Kanumba tu, wanadai kuna wengine, tena wazito, labda kwasababu hawapo duniani..
Mkuu humu JF watu wanatoka au wanaishi kila pembe ya dunia na wana umri tofauti.Umenishangaza tu kumjua lulu hizi wiki mbili na huyo kadumba badala ya kanumba coz kwa lile tukio yani km ingekuwa ni wimbo basi ilikuwa big hit all over East Africa kila kona walijua, sijui we ulikua wapi tu
Kumbuka mwaka mmoja kabla ya mauaji ya Kanumba, Lulu huyo huyo alikuwa amesherehekea Birthday yake ya miaka 18 kama si 19.
Hili la kusema aliua akiwa minor ni utata mtupu.
Lakini pia Lulu ni mwongo na mtukutu tu. Habari za kukataa shule na kuanza na mashuga dadi waulize walimu shule alokuwa akisoma. Umalaya na uwongo, jeuri na ujinga ndiyo rangu halisi za haka kajukuu kangu.
HUU NI UONGO WA WAZI KABISA SAMAHANI LAKINI ...Wenzio saa hizi watoto wa miaka 12 ukiwauliza Beethoven wanamjua lakini Diamond Platinum au Mr. Pasua kichwa hawamjui na wapo bongo hapa hapa.
Wao wanamjua LeBron James au Christiano Rolnaldo na Messi lakini Shiza Kichuya hawamjui wala Ibrahim Ajibu.
Hawajui Ndondo Cup au VPL wanaijua NBA na Grand Prix.
Hawajui Clouds TV wala ITV Tanzania wanazijua BBC, FOX News, CBC News, CNN, n.k.
Mkuu humu JF watu wanatoka au wanaishi kila pembe ya dunia na wana umri tofauti.
Usidhani kila mtu wakati huo alikuwa ana umri mkubwa au jamii aliyo kulia alikuwa anaweza kufuatilia wasanii wa bongo movie au bongo flava. Wengine humu hawamjui Ray Kigosi ni nani hadi sasa.
Wenzio saa hizi watoto wa miaka 12 ukiwauliza Beethoven wanamjua lakini Diamond Platinum au Mr. Pasua kichwa hawamjui na wapo bongo hapa hapa.
Wao wanamjua LeBron James au Christiano Rolnaldo na Messi lakini Shiza Kichuya hawamjui wala Ibrahim Ajibu.
Hawamjui Cheka wala Japhet Kaseba wanawajua akina Anton Joshua na akina Lewis Hamilton, Usain Bolt.
Hawajui Ndondo Cup au VPL wanaijua NBA na Grand Prix.
Hawajui Clouds TV wala ITV Tanzania wanazijua BBC, FOX News, CBC News, CNN, n.k.
Hawazijui Bongo star Search au Maisha Plus wanazijua The X-Factor na Britain's/America's Got Talent Shows.
HUU NI UONGO WA WAZI KABISA SAMAHANI LAKINI ...
Nimeshangaa sana coz lile tukio lilitrend km wiki mbili hivi media zote tv, radio na social networks ila hakujua lkn hukumu ya jana tu kajua
hizi siku mbili tatu nimekuta threads nyingi sana zikihusiana na mwanamke mmoja anayeitwa lulu.binafsi sikuwa nikimfahama mpaka hizi week mbili tatu nilipoona kila sehemu anazungumziwa na nikataka kumfaham
Nimeshangaa sana coz lile tukio lilitrend km wiki mbili hivi media zote tv, radio na social networks ila hakujua lkn hukumu ya jana tu kajua
Kanumba na Lulu ni wasanii hivyo usidhani kila mmoja ni mpenzi wa vitu kama usanii na udaku.
nashukuru mkuu kuyaweka haya wazi. maana wengine hawataki kuangalia the otherside. ilikuaje alisema kuwa kipindi hicho alikuwa na miaka 16? sifaham ni mwaka gani. je mahakama haijaangalia hili la kudanganya kuwa huyu mtuhumiwa anaweza kuwa amedanganya mengi zaidi?
Chakula cha wakubwa hichoKabisa kabisa, katoto kalikuwa "abused" kabla hakajakomaa, wazazi walifaidika na haka katoto kutumia mwili wake, hata adhabu kaliyopewa hakastahili, kalitakiwa kaende kutibiwa kwanza, na maneno mtaani siyo Kanumba tu, wanadai kuna wengine, tena wazito, labda kwasababu hawapo duniani..
Unabisha usivyovijua.HUU NI UONGO WA WAZI KABISA SAMAHANI LAKINI ...