Kulingana na Sera ya wizara ya afya juu ya matibabu ya wazee,watoto na wajawazito kutibiwa bure,,lakini katika hiki kituo imekua balaa watoto chini ya miaka mitano hulipia bila hela ahudumiwi au mpaka ukanunue gloves ndo unahudumiwa, Sio hvo tu isitoshe wajawazito kujifungua huambiwa waandae elfu sabini.. kivipi??kwan kituo hakipati gawiwo La fedha kwa ajili ya kundi hilo LA msamaha?? je kituo hakipati dawa kutoka msd??Tafadhali DMO,RMO fatilieni hili mtalibaini..