Kinachoendelea USA, sio vita ya ubaguzi wa Rangi ni bomu lililolipuka dhidi ya uonevu unaofanywa na dola

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,653
Ukiangalia katika Taarifa za habari na Mitandao ya kijamii kuhusiana na vurugu zinazoendelea Marekani, utagundua kuwa asilimia kubwa wanaoandamana au kufanya vurugu ni Wazungu.

Wazungu wameungana na watu weusi kuonesha hisia zao dhidi ya uonevu unaofanywa na vyombo vya dola na sio ubaguzi wa rangi.

Ukifikiri out of the box utagundua kuwa hata kama police aliyefanya mauwaji angekuwa mweusi, bado watu wange riot kupinga uonevu unaofanywa na vyombo vya dola.

Ndyo maana huoni waafrica wakishambulia wazungu bali Raia wote bila kujali Race zao wameungana pamoja wakipambana na dola.

Hili hata hapa Tanzania inabidi liwe fundisho. Watu wanaweza kuvumilia uonevu wanaofanyiwa kwa muda mrefu ila tukio dogo sana linaweza amsha hisia za watu na watu wakaamua kuungana bila kujali utofauti wao wa vyama vya siasa, dini au kabila
 
Chadema siku zote mnamawazo ya hovyo tu
Nyie mnawatetea Mabeberu kwa kila kitu
'Wazungu wameungana na watu weusi kuonesha hisia zao dhidi ya uonevu unaofanywa na vyombo vya dola na sio ubaguzi wa rangi'. Ukielewa huu ujumbe itakuwa ni hatua kwenda Tz mpya. Achana na kuwaimbia taarab na mapambio mabeberu weusi wa hapa kwetu, kwa ajili ya bk7.
 
Ukiangalia katika Taarifa za habari na Mitandao ya kijamii kuhusiana na vurugu zinazoendelea Marekani, utagundua kuwa asilimia kubwa wanaoandamana au kufanya vurugu ni Wazungu.

Wazungu wameungana na watu weusi kuonesha hisia zao dhidi ya uonevu unaofanywa na vyombo vya dola na sio ubaguzi wa rangi.

Ukifikiri out of the box utagundua kuwa hata kama police aliyefanya mauwaji angekuwa mweusi, bado watu wange riot kupinga uonevu unaofanywa na vyombo vya dola.

Ndyo maana huoni waafrica wakishambulia wazungu bali Raia wote bila kujali Race zao wameungana pamoja wakipambana na dola.

Hili hata hapa Tanzania inabidi liwe fundisho. Watu wanaweza kuvumilia uonevu wanaofanyiwa kwa muda mrefu ila tukio dogo sana linaweza amsha hisia za watu na watu wakaamua kuungana bila kujali utofauti wao wa vyama vya siasa, dini au kabila.
Ukiangalia katika Taarifa za habari na Mitandao ya kijamii kuhusiana na vurugu zinazoendelea Marekani, utagundua kuwa asilimia kubwa wanaoandamana au kufanya vurugu ni Wazungu.

Wazungu wameungana na watu weusi kuonesha hisia zao dhidi ya uonevu unaofanywa na vyombo vya dola na sio ubaguzi wa rangi.

Ukifikiri out of the box utagundua kuwa hata kama police aliyefanya mauwaji angekuwa mweusi, bado watu wange riot kupinga uonevu unaofanywa na vyombo vya dola.

Ndyo maana huoni waafrica wakishambulia wazungu bali Raia wote bila kujali Race zao wameungana pamoja wakipambana na dola.

Hili hata hapa Tanzania inabidi liwe fundisho. Watu wanaweza kuvumilia uonevu wanaofanyiwa kwa muda mrefu ila tukio dogo sana linaweza amsha hisia za watu na watu wakaamua kuungana bila kujali utofauti wao wa vyama vya siasa, dini au kabila.
Umeandika vyema sana, siku zote unapofanya jambo lolote la uonevu na reaction isionekane kwa hofu ya utawala kuna jambo dogo sana linaweza kuibua hisia za kuwaunganisha, mfano tukio la mauaji ya George litaleta mtazamo mpya kwa wamerekani wote kuelekea uchaguzi mkuu
 
Ukiangalia katika Taarifa za habari na Mitandao ya kijamii kuhusiana na vurugu zinazoendelea Marekani, utagundua kuwa asilimia kubwa wanaoandamana au kufanya vurugu ni Wazungu.

Wazungu wameungana na watu weusi kuonesha hisia zao dhidi ya uonevu unaofanywa na vyombo vya dola na sio ubaguzi wa rangi.

Ukifikiri out of the box utagundua kuwa hata kama police aliyefanya mauwaji angekuwa mweusi, bado watu wange riot kupinga uonevu unaofanywa na vyombo vya dola.

Ndyo maana huoni waafrica wakishambulia wazungu bali Raia wote bila kujali Race zao wameungana pamoja wakipambana na dola.

Hili hata hapa Tanzania inabidi liwe fundisho. Watu wanaweza kuvumilia uonevu wanaofanyiwa kwa muda mrefu ila tukio dogo sana linaweza amsha hisia za watu na watu wakaamua kuungana bila kujali utofauti wao wa vyama vya siasa, dini au kabila.
Kwani kuna kiumbe anaye onewa Tanzania? Basi huyo kiumbe sio wa dunia hii watu tunaishi raha mstarehe buuuuuuuuuuuuuuuuu, peleka mawazo yako yasiyo na akili huko ooooooo.. Jitu litukane serikali alafu tuliangalia tuuuu. Kila kitu kulalama tu kazi hamtaki kufanya mnataka vya bure, maisha ni kutafuta sio kutafutana wenzenu walisoma waliteseka kwa juhudi zao wakaingia ofisini. Leo linakuja jitu kuwabugudhi na kuwatukana. Dawa yake ni kutia pingu peleka rumande. Tafuta vyakwako. Buuuuuuuuuuuuuuuuu
 
.
68dc6a972ae14264e366612bb02677aa.jpg
FB_IMG_15907921624797343.jpg
 
Kwani kuna kiumbe anaye onewa Tanzania? Basi huyo kiumbe sio wa dunia hii watu tunaishi raha mstarehe buuuuuuuuuuuuuuuuu, peleka mawazo yako yasiyo na akili huko ooooooo.. Jitu litukane serikali alafu tuliangalia tuuuu. Kila kitu kulalama tu kazi hamtaki kufanya mnataka vya bure, maisha ni kutafuta sio kutafutana wenzenu walisoma waliteseka kwa juhudi zao wakaingia ofisini. Leo linakuja jitu kuwabugudhi na kuwatukana. Dawa yake ni kutia pingu peleka rumande. Tafuta vyakwako. Buuuuuuuuuuuuuuuuu
Acc zote zilizojiunga JF 2020, feb tunajua mmetumwa. Mimi nachofanya ni kuwablock tu. Nawashauri na wengine kufanya ivyo.
 
Ukiangalia katika Taarifa za habari na Mitandao ya kijamii kuhusiana na vurugu zinazoendelea Marekani, utagundua kuwa asilimia kubwa wanaoandamana au kufanya vurugu ni Wazungu.

Wazungu wameungana na watu weusi kuonesha hisia zao dhidi ya uonevu unaofanywa na vyombo vya dola na sio ubaguzi wa rangi.

Ukifikiri out of the box utagundua kuwa hata kama police aliyefanya mauwaji angekuwa mweusi, bado watu wange riot kupinga uonevu unaofanywa na vyombo vya dola.

Ndyo maana huoni waafrica wakishambulia wazungu bali Raia wote bila kujali Race zao wameungana pamoja wakipambana na dola.

Hili hata hapa Tanzania inabidi liwe fundisho. Watu wanaweza kuvumilia uonevu wanaofanyiwa kwa muda mrefu ila tukio dogo sana linaweza amsha hisia za watu na watu wakaamua kuungana bila kujali utofauti wao wa vyama vya siasa, dini au kabila.
Siyo kila mweupe unayemuona ni mzungu wale ni wahamiaji toka mataifa yenye Vita asili waarabu nk nao wanabaguliwa Sana tu wengi waislam.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kuna kiumbe anaye onewa Tanzania? Basi huyo kiumbe sio wa dunia hii watu tunaishi raha mstarehe buuuuuuuuuuuuuuuuu, peleka mawazo yako yasiyo na akili huko ooooooo.. Jitu litukane serikali alafu tuliangalia tuuuu. Kila kitu kulalama tu kazi hamtaki kufanya mnataka vya bure, maisha ni kutafuta sio kutafutana wenzenu walisoma waliteseka kwa juhudi zao wakaingia ofisini. Leo linakuja jitu kuwabugudhi na kuwatukana. Dawa yake ni kutia pingu peleka rumande. Tafuta vyakwako. Buuuuuuuuuuuuuuuuu
Huo ULIYONAO moyoni mwako, ndio ubeberu wenyewe halisi.
 
Back
Top Bottom