Kuna ndugu mmoja hapa mtaa wa segerea mata ya mlowo wilaya ya mbozi mkoani songwe tokea amefungiwa umeme haujawahi waka ndani na akienda tanesco ofisini zilizopo mjin vwawa anazungushwaKuhusu hitilafu ya mfumo wa LUKU iliyotokea tarehe 17 Mei 2021 imeshafanyiwa kazi na wateja wetu pia walijulishwa, kwa sasa huduma zinapatikana kawaida kama hapo awali.Je unapata changamoto gani? Unanunua umeme kwa njia gani?
Ndugu mpendwa Mteja wetuKuna ndugu mmoja hapa mtaa wa segerea mata ya mlowo wilaya ya mbozi mkoani songwe tokea amefungiwa umeme haujawahi waka ndani na akienda tanesco ofisini zilizopo mjin vwawa anazungushwa
Ni umeme wa Rea alifungiwa tokea miaka hiyo na haujawaka ndani
Ndugu mpendwa Mteja wetuWanakera sana na kukatakata umeme...
Tunakushauri kufika ofisi za eneo husika kuonana na maneja kwa kuwa swali hili ni la madaiJoseph Abdallah Lebai, Kerege- Bagamoyo, wilaya ya Bagamoyo, simu 0755282346. Mimi sio tatizo ila ni kuuliza, nililipia nguzo 2 mwaka 2015, ikawekwa nguzo moja, naweza kurudishiwa gharama ya nguzo moja? Ni kwa nini nilipe 350000, wakati eneo nilipo ni mpango wa REA?
Mnakera sana aisee kukatama umeme hovyo...Ndugu mpendwa Mteja wetu
Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako
Jina
Eneo
Wilaya
Namba ya simu
Tatizo
Toka lini
Ahsante sana
TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
UNACHOKIOMBA HAKITASAIDIA KUTATUA TATIZO.. I hope you know why we are not using our real names... Yaani unataka umjue mtu ndo upate nafasi ya kutatua tatizo lake?Tafadhali tusaidie namba yako ya simu yenye whatsApp na Wilaya uliyopo kwa taarifa zaidi
Una nafasi ya kutoa taarifa hata inbox kwa kuwa ni vigumu kukuhudumia bila kuwa na taarifa zako.Aidha mteja anahaki ya kuchagua njia inayoweza kumfanya ahudumiwe kirahisiUNACHOKIOMBA HAKITASAIDIA KUTATUA TATIZO.. I hope you know why we are not using our real name... Yaani unataka umjue mtu ndo upate nafasi ya kutatua tatizo lake?
Mfano huyo wa Mlimba analiyesema mmeweka nguzo mwaka uliopita hadi leo hamjaweka waya... TO ME NILIDHANI KITU HICHO HAKIHITAJI MAJINA AU DETAILS ZA MTOA TAARIFAUna nafasi ya kutoa taarifa hata inbox kwa kuwa ni vigumu kukuhudumia bila kuwa na taarifa zako.Aidha mteja anahaki ya kuchagua njia inayoweza kumfanya ahudumiwe kirahisi
Baada ya kulipia 27000 kupitia control number inachukua muda gani mteja kuwekewa umeme?Hili ni punguzo la nchi nzima ambapo limeanza tarehe 5 June 2021 hivyo kabla ya hapo vijijini bei ilikuwa 177000 na mijini 321000