Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 474
Katika Jiji la Mwanza, Tanesco Nyakato, wananchi wamekuwa wakilalamika kila wanapoenda ili wapate huduma katika Maeneo mbambali kama, kijerishi, Nyamongoro, Kisesa maeneo ya Isen B, Nyakato, Buswelu, National. Baadhi ya Matatizo yaliyopo ni kutowekewa umeme huku nguzo transforma na wire zimeshawekwa, wananchi wamekuwa wakipeleka form ni zaidi ya miezi mitatu, minne hadi Mitano bila kumuona surveyor, wamekuwa wakienda Tanesco wanaambia surveyor wako wawili gari ni mbili.
Kipindi cha Serikali iliyopita ni ndani ya week moja tu umeme umewaka.
Kwa Mwendo huu Waziri chukua hatua kusaidia wananchi, kwa maana mpaka inafika wanasema serikali hii haisaidii.
TANESCO
Kipindi cha Serikali iliyopita ni ndani ya week moja tu umeme umewaka.
Kwa Mwendo huu Waziri chukua hatua kusaidia wananchi, kwa maana mpaka inafika wanasema serikali hii haisaidii.
TANESCO