Kinachoendelea sasa hivi ni technical media blackout

Ukombozi Sasa

Member
Nov 5, 2010
17
10
Wajameni kitu gani kinaendelea bungeni kwa sasa! Wabunge wenye twitter accounts tafadhali tujuzeni kwa maana huku nje hatupati habari yeyote ya humo mjengoni. Je hili linaweza kuwa limepagwa haraka haraka ili kuzuia watz wasijue kinachoendelea kuhusu hitimisho la Escrow. Kwani sasa Professor anatupatia hotuba kuhusu ugonjwa wake...kwa kweli tupo kwenye giza la habari kwa ghafla kuhusu yanayoendelea Bungeni

This is not right, Watanzania wanataka kusikia na kuona kinachoendelea Bungeni kwa sasa!
 
Nilichokiona ni ku buy time,hayo maamuzi ndani ya bunge wapoteze muda na hamna kitakachotokea!Maelezo ya Prof. yalikuwa mengi,taratibu,na yaliyokuwa yana bore kwa kweli.What he did can be done later after addressing issues which has put the whole nation at stake!Ndiyo tofauti kati yetu na wenzetu!Mambo ya Msingi ya Taifa letu yapewe kipaumbele!Lets change this attitude ya kuwaona watz ni walewale cku zote!
 
Back
Top Bottom