Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe tu ndo ndo uongei na hao bokoharam wanaua watu wote hamna cha mkristo wala muislam labda ungeniambia wananua wakristo tu
Acha utoto.
Katika mwezi huu wa Ramadhani, na katika kumi hili la mwisho
Ghafla vyanzo mbalimabali vya habari na mitandao vimekuwa vikirusha taarifa za Israel kufanya tena mashambulizi dhidi ya Palestina
Nadhani wengi wetu tumelisikia (tumelishuhudia) hili kwenye mitandao yetu, kwa namna moja au nyingine.
Binafsi clip ya kwanza kuhusu mashambulizi haya ya Maboom nliiona jinsi.
Shambulizi zilivyoelekezwa katika msikiti mtukufu wa Aqsa.
Kwa mtazamo wa kawaida tu na mauwaji ya Raia wasio hatia, watoto na wengineo .
SI WAISLAMU TU ULIMWENGUNI WALIIPASWA KULAANI , baali dunia nzima kwa ujumla.
Kama tulivyoolaani mauwaji ya Mtu mweusi kule marekani , Vivyo hivyo wanaoteketea na kuangamia pale gaza kwa uhaini huu wa Israel ni Watu wasio na Hatia hata kama taifa lao (paleatina) limejawa na waislamu.
View attachment 1782175
WHO CARES???
View attachment 1782173
LETS PRAY FOR PALESTINE 🙏
Ndo waarabu weusi hao 😂😂😂😂😂😂Siyo Israel tu hata Msumbiji, Nigeria, Sudan, Somalia n.k
Mbona hamkemei kuhusu Boko Haram, Islamic state (Msumbiji), Al shabab, ISIS na makundi mengine ya kiislam yanayofanya mauaji?
Kwa Jf am sure utawapata wapumbavu wakuunge mkono... maana game yako ipo upande mmoja inamaana Israel kaamua tu kuwaua Wapalestina waliokuwa wametulia bila hata uchokozi????? Pumbavu kweli wewe...Katika mwezi huu wa Ramadhani, na katika kumi hili la mwisho
Ghafla vyanzo mbalimabali vya habari na mitandao vimekuwa vikirusha taarifa za Israel kufanya tena mashambulizi dhidi ya Palestina
Nadhani wengi wetu tumelisikia (tumelishuhudia) hili kwenye mitandao yetu, kwa namna moja au nyingine.
Binafsi clip ya kwanza kuhusu mashambulizi haya ya Maboom nliiona jinsi.
Shambulizi zilivyoelekezwa katika msikiti mtukufu wa Aqsa.
Kwa mtazamo wa kawaida tu na mauwaji ya Raia wasio hatia, watoto na wengineo .
SI WAISLAMU TU ULIMWENGUNI WALIIPASWA KULAANI , baali dunia nzima kwa ujumla.
Kama tulivyoolaani mauwaji ya Mtu mweusi kule marekani , Vivyo hivyo wanaoteketea na kuangamia pale gaza kwa uhaini huu wa Israel ni Watu wasio na Hatia hata kama taifa lao (paleatina) limejawa na waislamu.
View attachment 1782175
WHO CARES???
View attachment 1782173
LETS PRAY FOR PALESTINE 🙏
Katika mwezi huu wa Ramadhani, na katika kumi hili la mwisho
Ghafla vyanzo mbalimabali vya habari na mitandao vimekuwa vikirusha taarifa za Israel kufanya tena mashambulizi dhidi ya Palestina
Nadhani wengi wetu tumelisikia (tumelishuhudia) hili kwenye mitandao yetu, kwa namna moja au nyingine.
Binafsi clip ya kwanza kuhusu mashambulizi haya ya Maboom nliiona jinsi.
Shambulizi zilivyoelekezwa katika msikiti mtukufu wa Aqsa.
Kwa mtazamo wa kawaida tu na mauwaji ya Raia wasio hatia, watoto na wengineo .
SI WAISLAMU TU ULIMWENGUNI WALIIPASWA KULAANI , baali dunia nzima kwa ujumla.
Kama tulivyoolaani mauwaji ya Mtu mweusi kule marekani , Vivyo hivyo wanaoteketea na kuangamia pale gaza kwa uhaini huu wa Israel ni Watu wasio na Hatia hata kama taifa lao (paleatina) limejawa na waislamu.
View attachment 1782175
WHO CARES???
View attachment 1782173
LETS PRAY FOR PALESTI
Ila ukiwasikiliza viongozi wao na wa kiarabu, wanaongelea waarabu kwanza na pili waislam siyo wanadamu wala watu. Sisi waswahili tunapenda kujipendekeza. Wakati wenzetu wa CAR wakiuana tena kwa sababu za ukoloni wa kikiristo na kiislam, husikii waarabu wakilaani wala hao waislam. Hiyo ni vita yao na marafiki zao wa kizungu waliosaidiana kuwauza waswahili utumwani ukiachia mbali kuendelea kutubagua. Nilipokuwa Ulaya, kuna mzungu alimwambia mpalestina rafiki yangu kuwa mimi ni ndugu yake, jamaa aliruka futi mia kuonyesha asivyo na udugu na mtu mweusi japo mimi ni maji ya kunde. Hivyo, mie wakinyiongana naona sawa tu. Nakumbuka wakati wa awamu ya kwanza hawa wapalestina walituuzia ndege mbovu pia wengine walikamatwa wakiwasaidia wanajeshi wa nduli Amin kwa vile alikuwa muislam.Katika mwezi huu wa Ramadhani, na katika kumi hili la mwisho
Ghafla vyanzo mbalimabali vya habari na mitandao vimekuwa vikirusha taarifa za Israel kufanya tena mashambulizi dhidi ya Palestina
Nadhani wengi wetu tumelisikia (tumelishuhudia) hili kwenye mitandao yetu, kwa namna moja au nyingine.
Binafsi clip ya kwanza kuhusu mashambulizi haya ya Maboom nliiona jinsi.
Shambulizi zilivyoelekezwa katika msikiti mtukufu wa Aqsa.
Kwa mtazamo wa kawaida tu na mauwaji ya Raia wasio hatia, watoto na wengineo .
SI WAISLAMU TU ULIMWENGUNI WALIIPASWA KULAANI , baali dunia nzima kwa ujumla.
Kama tulivyoolaani mauwaji ya Mtu mweusi kule marekani , Vivyo hivyo wanaoteketea na kuangamia pale gaza kwa uhaini huu wa Israel ni Watu wasio na Hatia hata kama taifa lao (paleatina) limejawa na waislamu.
View attachment 1782175
WHO CARES???
View attachment 1782173
LETS PRAY FOR PALESTINE 🙏
Nenda ujitoleeHalafu nchi za Kiarabu ambazo zina utajiri mubwa sana UAE, Kuwait, Saudi Arabia, Qatar na nyingine nyingi hata kukemea zimeshindwa achilia mbali kuwapa msaada hawa wanaoishi katika mateso makubwa ya hao dhalimu wa Israel.
Hivi hawa wapelestina si ndo walisaidiana na majeshi ya IDD amini kuivamia Tanzania shehe?Wapuuzi sana hao Mkuu hata kuwachukua ili wahamie katika nchi zao ili waboreshe maisha yao hawataki, wale Jordan wana afadhali kidogo lakini hawana utajiri kama hao wengine. Wanashangaza sana.
😂😂😂🤣Alaaniwe Ndugai katika hili,
Vp Kama Jiwe angefufuka afu akagundua alikufa kwa Corona, angewachukuliaje watu wasiovaa barakoa? Hivii mtu akimsogelea si angemuua? Unaingia ikulu hujanawa mikono angekuvunja meno,
Waisrael ni wauaji halafu utawasikia wapuuzi wakiwaita eti ni Taifa TEULE!
Hivi hawa wapelestina si ndo walisaidiana na majeshi ya IDD amini kuivamia Tanzania shehe?
Porojousiombe uo mzozo uishe mapema hata kidgo maana biblia inasema vita dhidi ya Israel itapoisha kutatokea njaa kali dunia yote kwa mda wa miaka kadhaa baadae mpinga kristo ataishika dunia kwa kuwapa watu chakula kwa kuwachapa alama ya 666....
Kwahiyo wakiua waislamu na wakristo hakuna tatizo ila wakiuwawa waislamu ndi
Na hamas wanaovurumisha makombora sio wauaji sio?!Waisrael ni wauaji halafu utawasikia wapuuzi wakiwaita eti ni Taifa TEULE!
Mossad kiboko ya wavaa KobaziKatika mwezi huu wa Ramadhani, na katika kumi hili la mwisho
Ghafla vyanzo mbalimabali vya habari na mitandao vimekuwa vikirusha taarifa za Israel kufanya tena mashambulizi dhidi ya Palestina
Nadhani wengi wetu tumelisikia (tumelishuhudia) hili kwenye mitandao yetu, kwa namna moja au nyingine.
Binafsi clip ya kwanza kuhusu mashambulizi haya ya Maboom nliiona jinsi.
Shambulizi zilivyoelekezwa katika msikiti mtukufu wa Aqsa.
Kwa mtazamo wa kawaida tu na mauwaji ya Raia wasio hatia, watoto na wengineo .
SI WAISLAMU TU ULIMWENGUNI WALIIPASWA KULAANI , baali dunia nzima kwa ujumla.
Kama tulivyoolaani mauwaji ya Mtu mweusi kule marekani , Vivyo hivyo wanaoteketea na kuangamia pale gaza kwa uhaini huu wa Israel ni Watu wasio na Hatia hata kama taifa lao (paleatina) limejawa na waislamu.
WHO CARES???
LETS PRAY FOR PALESTINE 🙏
unaupinga nyuma ya keybaord siyo?Ni hatari kwa kweli!
Tuupinge huu unyama tuupinge kwa nguvu zote!