KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,182
- 56,770
Hivi kuna umuhimu gani wa kuendelea kuilipa kodi serikali inayopiga watu wake,wakati Kodi hiyohiyo ndio inayowaazibu walipa kodi?
Kuwa Muafrika kunamaanisha kuwa mnyama maana kwa haya dah! Inasikitisha! Maisha ya namna hii ilitakiwa tuwe tumeacha miaka ya nyuma sana!
Matusi ya wazungu dhidi yetu tunayahalalisha sisi wenyewe tukili tu we are nothing!! Humu duniani tunasindikiza tu.