Miya
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 816
- 1,249
JWTZ wenyewe walishawahi kugoma sembuse madaktari?kwako wewe uliona madai ya kijinga kwao waliyaona ya msingi,,wewe unadhani kama waliyokubaliana yangefanyika wangegoma?Mkuu kuna kazi zingine unajulishwa kabla hujaanza kazi tangu ukiwa chuo kwamba hutakiwi kugoma kwa sababu zinahusu roho za watu. Mfano Polisi wote wakigoma sibitakuwa balaa ujambazi, kubakana, kuchomeana nyumba moto, na kuuwana? Au askari wa jeshi la ulinzi JWTZ(TPDF) wakaamua kugoma wakati Malawi wanaingiza jeshi lao kutushambulia itakuwaje? Je huu mfano wa JWTZ hauoni kama unafanana na madaktri wanaogoma huku hospitalini kukiwa na wagonjwa kibao maisha yao yanategemea hao daktari.
Ingekuwa wanagoma kwa vile hawalipwi mshahara kabisa kwa muda wa miezi miwili ningewaunga mkono kwa vile wataishi vipi? Lakini kwa madai yale no justification ya kuvunja kiapo chao cha kutogoma.