Kinachoendelea Iringa Samora, Diamond hii ni kufuru!

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Sep 6, 2014
6,170
7,660
Kwa Taarifa zilizo nifikia tokea Iringa Samoraa ni kuwa Kwa Sasa uwanjaa ni Umejaaa hamna hata Sehemu ya kukanyagaaa! Huenda show Ikaahirishwa Kutokana na Wingi wa Watu! Kinacho Endelea ni Polisi kuongezwa kwa ajiri ya usalamaa na watu wanazidi kuingiaaaa!!! Watu wanahoji hapa na pale ni kuwa Diamond ana nini...huenda hii show kesho tukasikia Mengine! Nitaendelea kuwajuza kinacho endelea

Hii ilikuwa Sound check sio kwamba Show imeanza
Screenshot_2016-12-25-22-14-33.png
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom