TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,745
- 21,196
Kwa hali inayoendelea huko bondeni nchini Afrika kusini siyo sahihi kukaa kimya kwa viongozi au mwenyekiti wa SADC.
Hali siyo nzuri kwa sababu matokeo ya mauaji yanayoendelea pale afrika kusini ni muendelezo wa maumivu ya raia wageni, inapelekea hata nchi zilizo na uwekezaji wa waafrika kusini kupata dhoruba kwenye nchi nyingine.
Nigeria, Zambia nk tayari masoko makubwa aka Supermarket zimevamiwa, kuvunjwa na kuibwa mali.
➡ TUSEME INATOSHA.
Picha hii 👇 inatoa taswira gani kwa tukio kama hili kwetu waafrika?
Hali siyo nzuri kwa sababu matokeo ya mauaji yanayoendelea pale afrika kusini ni muendelezo wa maumivu ya raia wageni, inapelekea hata nchi zilizo na uwekezaji wa waafrika kusini kupata dhoruba kwenye nchi nyingine.
Nigeria, Zambia nk tayari masoko makubwa aka Supermarket zimevamiwa, kuvunjwa na kuibwa mali.
➡ TUSEME INATOSHA.
Picha hii 👇 inatoa taswira gani kwa tukio kama hili kwetu waafrika?