Kinachoendelea hivi sasa ni jitihada kubwa za kujaribu kuwageuza watanzania mateka wa ulimwengu wa nadharia

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Ndugu zangu, eleweni tu kwa sasa hawa jaama wanafanya jitihada kubwa kujaribu sana kuwageuza watanzania kuwa mateka wa ulimwengu wa nadharia.

Kwa sasa mtaaminishwa kuna mambo mengi makubwa yanafanyika; kuna mafanikio makubwa yanapatikana; kuna maendeleo makubwa sana yanapatikana;tumepapta watu wenye uwezo usio wa kawaida, n.k.

Yaani wanajaribu kutuweka katika ulimwengu ambao ni artificial wanasahau kabisa kuwa muda ndio utakuja kuwaumbua huko baadae baada ya hali kuja kuwa ngumu ikiwa ni matokeo ya maamuzi yanyofanyika sasa.

Binafsi naona huko mbele kuna hardship kali sana inakuja na ambayo inaweza isiwe na matokeo mazuri sana.

Muda wa porojo unapita; muda wa reality unakaribia.
 
Ndugu zangu, eleweni tu kwa sasa hawa jaama wanafanya jitihada kubwa kujaribu sana kuwageuza watanzania kuwa mateka wa ulimwengu wa nadharia.

Kwa sasa mtaaminishwa kuna mambo mengi makubwa yanafanyika; kuna mafanikio makubwa yanapatikana, kuna maendeleo makubwa sana yanapatika;tumepapta watu wenye uwezo usio wa kawaida, n.k.

Yaani wanajaribu kutuweka katika ulimwengu ambao ni artificial wanasahau kabisa kuwa muda ndio utakuja kuwaumbua huko baadae baada ya hali kuja kuwa ngumu ikiwa ni matokeo ya maamuzi yanyofanyika sasa.

Binafsi naona huko mbele kuna hardship kali sana inakuja na ambayo inaweza isiwe na matokeo mazuri sana.

Muda wa porojo unapita; muda wa reality unakaribia.
Bavicha wameishiwa hoja...
 
Unahangaika Sana na unapata tabu Sana.Ona thread zako za karibuni zisivyo na kichwa wala miguu. Very soon anayekulipaga kuanzisha threads 24/7 atakuwa hakulipi tena maana umeshaishiwa. Ni hivi kutokana na ukali na ubabe wa JPM miradi yote nchi nzima inaenda kwa kasi Sana na wananchi wanaona, ndo maana wabunge wa upinzani wenye akili wameshaacha kupinga pinga ovyo bila kutumia akili, mnaopinga pinga Kama wendawazimu mmebaki JAMII FORUMS TU.
 
Binafsi naona huko mbele kuna hardship kali sana inakuja na ambayo inaweza isiwe na matokeo mazuri sana
Wewe huwezi kuacha kuona hardship na unafanya uwekezaji wa kijinga unawekeza kwenye mitandao ya kijamii, kila thread ya siasa upo unajibizana masaa 24 utaacha kuona hardship?,ila uzuri nchi inasonga kwa utulivu kabisa na mnaopinga maendeleo mmebakia mitandaoni tu.Endeleeni kupinga kila kitu ila mjue 2020 hazungushi mtu mikono Kama nyumbu, wananchi wameshawashtukia.
 
Ngoja tuumie wengi tupate akili. Nasubiria mashetani wengine. Yaani haiwezekani watu wanalipwa pesa na wanafanya upuuzi hata hawaogopi. Maanake sisi ni midoli tu hatuna effect.
 
Unahangaika Sana na unapata tabu Sana.Ona thread zako za karibuni zisivyo na kichwa wala miguu. Very soon anayekulipaga kuanzisha threads 24/7 atakuwa hakulipi tena maana umeshaishiwa. Ni hivi kutokana na ukali na ubabe wa JPM miradi yote nchi nzima inaenda kwa kasi Sana na wananchi wanaona, ndo maana wabunge wa upinzani wenye akili wameshaacha kupinga pinga ovyo bila kutumia akili, mnaopinga pinga Kama wendawazimu mmebaki JAMII FORUMS TU.
unaweza kuta taahira kama wewe unaishi mlo mmoja kwa siku, lakini kwa akili zako ndogo unadanganywa na kuamini kwamba mambo yanaenda vizuri. subiri kidogo akili itakukaa sawa,sh*t.
 
Ndugu zangu, eleweni tu kwa sasa hawa jaama wanafanya jitihada kubwa kujaribu sana kuwageuza watanzania kuwa mateka wa ulimwengu wa nadharia.

Kwa sasa mtaaminishwa kuna mambo mengi makubwa yanafanyika; kuna mafanikio makubwa yanapatikana, kuna maendeleo makubwa sana yanapatika;tumepapta watu wenye uwezo usio wa kawaida, n.k.

Yaani wanajaribu kutuweka katika ulimwengu ambao ni artificial wanasahau kabisa kuwa muda ndio utakuja kuwaumbua huko baadae baada ya hali kuja kuwa ngumu ikiwa ni matokeo ya maamuzi yanyofanyika sasa.

Binafsi naona huko mbele kuna hardship kali sana inakuja na ambayo inaweza isiwe na matokeo mazuri sana.

Muda wa porojo unapita; muda wa reality unakaribia.
Wameshindwa kutuonyesha hata kipande cha mita moja ya taluma LA SGR
 
unaweza kuta taahira kama wewe unaishi mlo mmoja kwa siku, lakini kwa akili zako ndogo unadanganywa na kuamini kwamba mambo yanaenda vizuri. subiri kidogo akili itakukaa sawa,sh*t.
Taahira bibi yako, kwahiyo ukila mlo mmoja ndo uanze kupinga ovyo kuwa maisha hayaendi?,nyie ndo maana mliitwa nyumbu kabisa, unaamini Mbowe na Lowassa wangekuletea maendeleo?,acha kushikiwa akili Kama mleta mada. Tumia kidogo zakwako.
 
Taahira bibi yako, kwahiyo ukila mlo mmoja ndo uanze kupinga ovyo kuwa maisha hayaendi?,nyie ndo maana mliitwa nyumbu kabisa, unaamini Mbowe na Lowassa wangekuletea maendeleo?,acha kushikiwa akili Kama mleta mada. Tumia kidogo zakwako.
Makelele mengi na kutafuta misifa ya kijinga wakati hali halisi ni majanga.

Hivi sasa karibu kila sekta imevurugwa kutokana na maamuzi yasioyo sahihi na huko mbele hali itakuwa ngumu zaidi.

Hela nyingi mnaelekeza kwenye vitu vichache vya kuonekana machoni kisa kiki huku mambo mengine muhimu yakipewa kisogo(bajeti kwa sekta nyingine hazitekelezwi hata kwa asilimi 50).

Bahati mbaya sana tija ya hayo matrilioni kwenye baadhi ya miradi hiyo inaweza isije onekana leo wala kesho huku kuna uwezekano hiyo tija isije kuonekana kabisa kwa baadhi ya miradi inayoweza kuwa ni ya hasara tupu huku tukilipa mamikopo ya matrilioni tuliochukua kugharamia miradi hiyo na kupunguza uwezo wa serikali kugharamia shughuli nyingine za maendeleo.

Fanyeni vitu vichache vikubwa na kwa awamu ili na mambo mengine yasisthirike/kukwama.

Ni swala la muda tu tutashuhudia hali ngumu itakayotokana na haya maamuzi ya leo.
 
Taahira bibi yako, kwahiyo ukila mlo mmoja ndo uanze kupinga ovyo kuwa maisha hayaendi?,nyie ndo maana mliitwa nyumbu kabisa, unaamini Mbowe na Lowassa wangekuletea maendeleo?,acha kushikiwa akili Kama mleta mada. Tumia kidogo zakwako.
Nadhani niishie hapa, naweza kuwa najibizana na kichaa. You are empty headed.
 
Ndugu zangu, eleweni tu kwa sasa hawa jaama wanafanya jitihada kubwa kujaribu sana kuwageuza watanzania kuwa mateka wa ulimwengu wa nadharia.

Kwa sasa mtaaminishwa kuna mambo mengi makubwa yanafanyika; kuna mafanikio makubwa yanapatikana; kuna maendeleo makubwa sana yanapatikana;tumepapta watu wenye uwezo usio wa kawaida, n.k.

Yaani wanajaribu kutuweka katika ulimwengu ambao ni artificial wanasahau kabisa kuwa muda ndio utakuja kuwaumbua huko baadae baada ya hali kuja kuwa ngumu ikiwa ni matokeo ya maamuzi yanyofanyika sasa.

Binafsi naona huko mbele kuna hardship kali sana inakuja na ambayo inaweza isiwe na matokeo mazuri sana.

Muda wa porojo unapita; muda wa reality unakaribia.
Dogo acha wenge. Tulia
 
Makelele mengi na kutafuta misifa ya kijinga wakati hali halisi ni majanga.

Hivi sasa karibu kila sekta imevurugwa kutokana na maamuzi yasioyo sahihi na huko mbele hali itakuwa ngumu zaidi.

Hela nyingi mnaelekeza kwenye vitu vichache vya kuonekana machoni kisa kiki huku mambo mengine muhimu yakipewa kisogo(bajeti kwa sekta nyingine hazitekelezwi hata kwa asilimi 50).

Bahati mbaya sana tija ya hayo matrilioni kwenye baadhi ya miradi hiyo inaweza isije onekana leo wala kesho huku kuna uwezekano hiyo tija isije kuonekana kabisa kwa baadhi ya miradi inayoweza kuwa ni ya hasara tupu huku tukilipa mamikopo ya matrilioni tuliochukua kugharamia miradi hiyo na kupunguza uwezo wa serikali kugharamia shughuli nyingine za maendeleo.

Ni swala la muda tu tutashuhudia hali ngumu itakayotokana na haya maamuzi ya leo.
Tatizo lako haufatilii mambo ya duniani kinachoendelea hapa kwasasa nni kufunga mikanda.Hela zinazojenga reli na zilizonunua ndege ndo ela zilizokuwa zinazagaa mitaani kwa njia tofauti tofauti.Kama unataka maendeleo lazima ukubali kuumia kwa kipindi fulani.Maendeleo hayaji hivi hivi.Nakupa mfano mmoja, ukiona mtu mwenye mshahara wa kawaida Kama mwalimu wa shule ya serikali ana majukumu ya familia na anaishi kwake amejenga nyumba nzuri na gari Mara nyingi Sana kuna wakati alifunga mkanda, pengine kuna miaka kadhaa alikuwa anakula mlo mmoja ili maendeleo yawepo.Hatuwezi kuendekeza siasa uchwara tukapata maendeleo.Tuseme budget haijapelekwa hata 50% mbona hujafa upo hapa unapiga kelele?,hata kodi za korosho zikienda kujenga SGR ni sawa tu kwani zinaenda kujenga Malawi?,si Tanzania hapa hapa?,ukitaka maendeleo lazima uumie.Ukiweka pembeni U CDM na U CCM utanielewa.
 
Tatizo lako haufatilii mambo ya duniani kinachoendelea hapa kwasasa nni kufunga mikanda.Hela zinazojenga reli na zilizonunua ndege ndo ela zilizokuwa zinazagaa mitaani kwa njia tofauti tofauti.Kama unataka maendeleo lazima ukubali kuumia kwa kipindi fulani.Maendeleo hayaji hivi hivi.Nakupa mfano mmoja, ukiona mtu mwenye mshahara wa kawaida Kama mwalimu wa shule ya serikali ana majukumu ya familia na anaishi kwake amejenga nyumba nzuri na gari Mara nyingi Sana kuna wakati alifunga mkanda, pengine kuna miaka kadhaa alikuwa anakula mlo mmoja ili maendeleo yawepo.Hatuwezi kuendekeza siasa uchwara tukapata maendeleo.Tuseme budget haijapelekwa hata 50% mbona hujafa upo hapa unapiga kelele?,hata kodi za korosho zikienda kujenga SGR ni sawa tu kwani zinaenda kujenga Malawi?,si Tanzania hapa hapa?,ukitaka maendeleo lazima uumie.Ukiweka pembeni U CDM na U CCM utanielewa.
Endelea kujidanganya tu.Mahesabu ya ATCL yako wapi?

Hiyo trilioni 1 na zaidi mliowekeza(tena nyingi imeenda nje ya nchi) na bado hasara inaripotiwa alafu mnaona ni sahihi tu. Ipo siku utakuja ona impact yake katika uchumi wa nchi.
 
Kwa sasa mtaaminishwa kuna mambo mengi makubwa yanafanyika; kuna mafanikio makubwa yanapatikana, kuna maendeleo makubwa sana yanapatika;tumepapta watu wenye uwezo usio wa kawaida, n.k.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!, amefeli wapi?!.
Ndege ya dreamliner hujaiona?!, find out Africa ni nchi ngapi zinayo?.

SGR huioni?.

Barabara za juu na chini huzioni?.

Elimu bure huioni?.

Lami nchi nzima huioni?.

Uchumi wetu unakuwa kwa more than 7%, huoni?

Tunajenga Stigler huoni?.

Rushwa inakwisha, ufisadi unakwisha, nchi inapiga maendeleo kuelekea nchi ya uchumi wa kati, nchi ya viwanda, haya yote huyaoni?, sasa amefeli wapi?.

Niliwahi kusisitiza humu
Rais Magufuli na serikali yake wakosolewe kwa hoja sio kwa viroja - Jicho letu, Star TV

P.
 
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!, amefeli wapi?!.
Ndege ya dreamliner hujaiona?!, find out Africa ni nchi ngapi zinayo?.

SGR huioni?.

Barabara za juu na chini huzioni?.

Elimu bure huioni?.

Lami nchi nzima huioni?.

Uchumi wetu unakuwa kwa more than 7%, huoni?

Tunajenga Stigler huoni?.

Rushwa inakwisha, ufisadi unakwisha, nchi inapiga maendeleo kuelekea nchi ya uchumi wa kati, nchi ya viwanda, haya yote huyaoni?, sasa amefeli wapi?.

Niliwahi kusisitiza humu
Rais Magufuli na serikali yake wakosolewe kwa hoja sio kwa viroja - Jicho letu, Star TV

P.
Ingekuwa maendeleo ya vitu ndio kila kitu, huko Ulaya na hata Ethiopia na nchi nyinginezo za Africa usingesikia watu wanaandamana kupiga matatizo ya kiuchumi, ukosefu wa ajira,kudai nyongeza za mishahara, n.k.

Waendelee tu kutoa kipaumbele kwenye miundombuni huku mkisema mambo mengine yasubiri lakini ipo siku mtajua kwanini watu wenye hekima zao waliwahi ongelea umuhimu wa maendeleo ya watu na si vitu pekee.

Ya korosho na kilio cha wakulima wa korosho huko kusini ni mfano mzuri wa nini kinaweza kuja kutokea hapo baadae iwapo kipaumbele itakuwa ni kuelekeza hela nyingi kwenye miundombinu tu.
 
Back
Top Bottom