Kina nani walipata "first classes" UDSM shule ya sheria?

Che Mkira

Senior Member
Jul 8, 2014
117
152
Habari viongozi? Ni muda kitambo nimekuwa nikifuatilia kujua historia ya chuo kikuu cha Dar es salaam kujua watu waliofanya vizuri zaidi katika kitivo kongwe cha sheria. Kwa ufuatiliaji wangu nimebaini waliopata daraja la kwanza (first class) toka shule hiyo inaanzishwa 1961 ni watu 15.

Wa kwanza alipata mwaka 1963 na wa mwisho 1992. Ni kitendawili kingine nilichokutana nacho kujua majina ya waliopata ufaulu huo. Wakati sisi tunamaliza chuoni hapo miaka ya 2004, hakuna mtu yeyote aliyebahatika kuwafahamu. Ni watu watano tu wanaofahamika kati ya hao 15.
1)Prof Aidan Paramagamba Kabudi
2)Dr Ringo William Tenga
3) James Orenga
4) Prof Hamidu Majamba &
5) Dr Asha-Rose Mtengeti Migiro.

Je, wengine 10 ni kina nani? Tuwafahamu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari viongozi? Ni muda kitambo nimekuwa nikifuatilia kujua historia ya chuo kikuu cha Dar es salaam kujua watu waliofanya vizuri zaidi katika kitivo kongwe cha sheria. Kwa ufuatiliaji wangu nimebaini waliopata daraja la kwanza (first class) toka shule hiyo inaanzishwa 1961 ni watu 15.

Wa kwanza alipata mwaka 1963 na wa mwisho 1992. Ni kitendawili kingine nilichokutana nacho kujua majina ya waliopata ufaulu huo. Wakati sisi tunamaliza chuoni hapo miaka ya 2004, hakuna mtu yeyote aliyebahatika kuwafahamu. Ni watu watano tu wanaofahamika kati ya hao 15.
1)Prof Aidan Paramagamba Kabudi
2)Dr Ringo William Tenga
3) James Orenga
4) Prof Hamidu Majamba &
5) Dr Asha-Rose Mtengeti Migiro.

Je, wengine 10 ni kina nani? Tuwafahamu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Dr Harrison Mwakyembe

Mh Tundu Antipasi Lissu
 
Dr Harrison Mwakyembe

Mh Tundu Antipasi Lissu
Sidhani kama Tundu Lisu alipata 1st Class.. Watu waliopataga 1st class udsm walikuwa mara nyingi sio watu wa kujichanganya walikuwa ni watu wa misuli mizito na mara nyingi ni watu walikuwa na personality ya kuto kufahamika.

Tundu Lisu harakati alizianza akiwa chuo.. Na possibly inawezekana alikuwa maarufu pia. Na kwa sababu umaarufu na kupata 1st class ni inverse proportion basi jamaa hakupata 1st class.

Binafsi nimesoma udsm pia na nilikuwa na ndoto ya kupata 1st class ila mwisho wa siku niliambulia 4.3 ingawa si haba japo msuli ulikuwa ni wa kutisha.

Sasa pia unavokuja kwenye sheria ya miaka minne kupata first class ina maana mtu u maintain high performance tangu mwaka wa kwanza na shule ya udsm inavochosha sio rahisi kabisa.

Na kwa Law inapaswa uwe na kitu cha ziada kuipata hiyo 1st class. Sana sana wale walikuwa wakali darasani waliishia kwenye 4.2 ila kupanda juu hapo kwa Law inakuhitaji uwe mzuri class na uwe na passion ya ki uanasheria kweli nje ya madesa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari viongozi? Ni muda kitambo nimekuwa nikifuatilia kujua historia ya chuo kikuu cha Dar es salaam kujua watu waliofanya vizuri zaidi katika kitivo kongwe cha sheria. Kwa ufuatiliaji wangu nimebaini waliopata daraja la kwanza (first class) toka shule hiyo inaanzishwa 1961 ni watu 15.

Wa kwanza alipata mwaka 1963 na wa mwisho 1992. Ni kitendawili kingine nilichokutana nacho kujua majina ya waliopata ufaulu huo. Wakati sisi tunamaliza chuoni hapo miaka ya 2004, hakuna mtu yeyote aliyebahatika kuwafahamu. Ni watu watano tu wanaofahamika kati ya hao 15.
1)Prof Aidan Paramagamba Kabudi
2)Dr Ringo William Tenga
3) James Orenga
4) Prof Hamidu Majamba &
5) Dr Asha-Rose Mtengeti Migiro.

Je, wengine 10 ni kina nani? Tuwafahamu!

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa first class zao zimewasaidia nini? kwasababu hapo aliyefanikiwa kuliko wote ni Dr. Tenga, wakili aliyepiga hela hadi anaziona za kawaida. kabudi hana hela, anazo za kawaida tu, asha ni za mishahara kama kabudi tu na enzi hizi za magufuli hawawezi kuiba, james orenga (mjaluo huyu) hata simjui, majamba hana lolote zaidi ya kubania wanafunzi pale wasipate kama alivyopata yeye, ataishia kufundisha wenzie tu ili waje kuwa matajiri wampite. ninamheshimu sana Dr. Tenga, kwasababu kati ya woote hao yeye pekee ndiye mwanasaheria nguli anayejua kufundisha, kutunga vitabu na kupractice sheria mahakamani. wengi tumepitia kwenye lawfirm yake na tupo vizuri sana kwenye practice. hao wengine wote mi hawajanizidi kitu zaidi ya vyeti tu.
 
sasa first class zao zimewasaidia nini? kwasababu hapo aliyefanikiwa kuliko wote ni Dr. Tenga, wakili aliyepiga hela hadi anaziona za kawaida. kabudi hana hela, anazo za kawaida tu, asha ni za mishahara kama kabudi tu na enzi hizi za magufuli hawawezi kuiba, james orenga (mjaluo huyu) hata simjui, majamba hana lolote zaidi ya kubania wanafunzi pale wasipate kama alivyopata yeye, ataishia kufundisha wenzie tu ili waje kuwa matajiri wampite. ninamheshimu sana Dr. Tenga, kwasababu kati ya woote hao yeye pekee ndiye mwanasaheria nguli anayejua kufundisha, kutunga vitabu na kupractice sheria mahakamani. wengi tumepitia kwenye lawfirm yake na tupo vizuri sana kwenye practice. hao wengine wote mi hawajanizidi kitu zaidi ya vyeti tu.
Umeingia mifukoni mwao?
 
Habari viongozi? Ni muda kitambo nimekuwa nikifuatilia kujua historia ya chuo kikuu cha Dar es salaam kujua watu waliofanya vizuri zaidi katika kitivo kongwe cha sheria. Kwa ufuatiliaji wangu nimebaini waliopata daraja la kwanza (first class) toka shule hiyo inaanzishwa 1961 ni watu 15.

Wa kwanza alipata mwaka 1963 na wa mwisho 1992. Ni kitendawili kingine nilichokutana nacho kujua majina ya waliopata ufaulu huo. Wakati sisi tunamaliza chuoni hapo miaka ya 2004, hakuna mtu yeyote aliyebahatika kuwafahamu. Ni watu watano tu wanaofahamika kati ya hao 15.
1)Prof Aidan Paramagamba Kabudi
2)Dr Ringo William Tenga
3) James Orenga
4) Prof Hamidu Majamba &
5) Dr Asha-Rose Mtengeti Migiro.

Je, wengine 10 ni kina nani? Tuwafahamu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Judge Dr. Gerald Alex Ndika
 
sasa first class zao zimewasaidia nini? kwasababu hapo aliyefanikiwa kuliko wote ni Dr. Tenga, wakili aliyepiga hela hadi anaziona za kawaida. kabudi hana hela, anazo za kawaida tu, asha ni za mishahara kama kabudi tu na enzi hizi za magufuli hawawezi kuiba, james orenga (mjaluo huyu) hata simjui, majamba hana lolote zaidi ya kubania wanafunzi pale wasipate kama alivyopata yeye, ataishia kufundisha wenzie tu ili waje kuwa matajiri wampite. ninamheshimu sana Dr. Tenga, kwasababu kati ya woote hao yeye pekee ndiye mwanasaheria nguli anayejua kufundisha, kutunga vitabu na kupractice sheria mahakamani. wengi tumepitia kwenye lawfirm yake na tupo vizuri sana kwenye practice. hao wengine wote mi hawajanizidi kitu zaidi ya vyeti tu.
Mafanikio ni zaidi ya pesa ndugu.

James Orenga ni mwanasiasa na mwanasheria machachari nchini Kenya. Ni kigogo wa NASA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
si tunawajua mzee? ndo maana wana hasira kweli kukamata wadogo zetu pale wasipate hata first class, utafikiri wao wana akili sana. mbona mahakamani wanaogopa kuja tupambane? kazi yao ni research na kusubiria mshahara mwisho wa mwezi.
Inahitaji akili ya ajabu kubeza mafanikio ya Rose Migiro, Kabudi au Orenga kwasababu hawana pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama Tundu Lisu alipata 1st Class.. Watu waliopataga 1st class udsm walikuwa mara nyingi sio watu wa kujichanganya walikuwa ni watu wa misuli mizito na mara nyingi ni watu walikuwa na personality ya kuto kufahamika.

Tundu Lisu harakati alizianza akiwa chuo.. Na possibly inawezekana alikuwa maarufu pia. Na kwa sababu umaarufu na kupata 1st class ni inverse proportion basi jamaa hakupata 1st class.

Binafsi nimesoma udsm pia na nilikuwa na ndoto ya kupata 1st class ila mwisho wa siku niliambulia 4.3 ingawa si haba japo msuli ulikuwa ni wa kutisha.

Sasa pia unavokuja kwenye sheria ya miaka minne kupata first class ina maana mtu u maintain high performance tangu mwaka wa kwanza na shule ya udsm inavochosha sio rahisi kabisa.

Na kwa Law inapaswa uwe na kitu cha ziada kuipata hiyo 1st class. Sana sana wale walikuwa wakali darasani waliishia kwenye 4.2 ila kupanda juu hapo kwa Law inakuhitaji uwe mzuri class na uwe na passion ya ki uanasheria kweli nje ya madesa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kujipigia upatu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom