Kina nani walimpigia JK kura ya Hapana?

M

MegaPyne

Guest
akp07.jpg


Anybody has a clue who these people are!!
 
itakuwa vigumu kuwafahamu, lakini rahisi kuwahisi...watu watano ni idadi ndogo, lakini ni wengi ukijiuliza kama watu hao walijaribu kupaaza sauti zao na kusema hapana, usiendelee kuwa mwenyekiti wa chama chao...
 
We should be certain that atleast Professor Mwandosya voted against the incumbent chairman of CCM. Why i think so?
-My sources say that Professor was quoted a while back swearing that H.E Kikwete will not be able to finish his term in office. That comment has left Kikwete and his colleagues wondering and confused.
-Also, there is a circulation of rumors that there would be changes in the cabinet anytime after the end of the current parliamentary session (after Nov 16th). The state of affairs at the moment is a deep heated discussion between JK his humble advisors on whether professor Mwandosya should be kicked out of the cabinet or no. According to this source, wanamtandao are still working on the cost-benefit analysis of such a move. Certainly that would be a grave mistake. Lets wait to witness a turn around chapter in the politics of the post nyerere era.
 
We should be certain that atleast Professor Mwandosya voted against the incumbent chairman of CCM. Why i think so?
-My sources say that Professor was quoted a while back swearing that H.E Kikwete will not be able to finish his term in office. That comment has left Kikwete and his colleagues wondering and confused.
-Also, there is a circulation of rumors that there would be changes in the cabinet anytime after the end of the current parliamentary session (after Nov 16th). The state of affairs at the moment is a deep heated discussion between JK his humble advisors on whether professor Mwandosya should be kicked out of the cabinet or no. According to this source, wanamtandao are still working on the cost-benefit analysis of such a move. Certainly that would be a grave mistake. Lets wait to witness a turn around chapter in the politics of the post nyerere era.

Kama wana m-kick out kama unavyosema na ikatokea kuwa yeye amejiunga na chama cha upinzani, basi kwangu miye itakuwa chanzo changu maishani kujiunga na chama cha siasa Tanzania, maana nitajiunga na chama chochote atakachokuwa amejiunga nacho....

SteveD.
 
Indeed, things are not moving the way they should be. sacking Mark wont bring any relief...but would rather cast a further deeper divide on the party, the government and the nation. He will gain nothing as the situation would be getting out of his control. We wait and see...
 
Kama mimi ni Mwandosya, naamua kujiuzulu kwa sababu binafsi...~

Ni wazo zuri. Lakini professor itabidi akalishwe chini na awe mkweli kutuelezea ni nini anataka kuifanyia Tanzania. Hatujasahau kwamba aliamua kugombea ubunge apate uwaziri na baadae kugombea urais kutokana na ugomvi wake binafsi na Kikwete kuhusu 'nani zaidi'.
 
Ni wazo zuri. Lakini professor itabidi akalishwe chini na awe mkweli kutuelezea ni nini anataka kuifanyia Tanzania. Hatujasahau kwamba aliamua kugombea ubunge apate uwaziri na baadae kugombea urais kutokana na ugomvi wake binafsi na Kikwete kuhusu 'nani zaidi'.

Bila ubishi wowote Mwandosya ni zaidi kuliko Kikwete. Kikwete hana ubavu wa kushindana na Mwandosya siku yoyote ile, ashukuru mungu rushwa wenyewe CCM wanaita takrima ilimbeba na kuibuka kidedea kama mgombea wa CCM. CCM wangekuwa wana mfumo wa kutafuta mgombea kwa kufanya mijadala (debate) kila mgombea angekuwa anazungumzia sera zake anakotaka kuipeleka Tanzania kama akichaguliwa kuwa rais, basi Kikwete hata katika 3 bora asingekuwemo.
 
"Bila ubishi wowote Mwandosya ni zaidi kuliko Kikwete. Kikwete hana ubavu wa kushindana na Mwandosya siku yoyote ile",

Mkuu Bubu,

Heshima mbele mkuu, hizi statement ndizo zilizotufanya tumchague Muungwana, bila ya kudai rekodi zake, here you are tumpeting exactly the same mantra bila evidence wala facts, uzaidi wa Mwandosya over Muungwana, unasababishwa na what as a political record? Kufundisha shule is one thing na kuongoza politicaly ni ni absolutely another different ball game!

What is Mwandosya political record inayomfanya awe zaidi ya Muungwana?
 
"Bila ubishi wowote Mwandosya ni zaidi kuliko Kikwete. Kikwete hana ubavu wa kushindana na Mwandosya siku yoyote ile",

Mkuu Bubu,

Heshima mbele mkuu, hizi statement ndizo zilizotufanya tumchague Muungwana, bila ya kudai rekodi zake, here you are tumpeting exactly the same mantra bila evidence wala facts, uzaidi wa Mwandosya over Muungwana, unasababishwa na what as a political record? Kufundisha shule is one thing na kuongoza politicaly ni ni absolutely another different ball game!

What is Mwandosya political record inayomfanya awe zaidi ya Muungwana?

Mie kwa maoni yangu sioni chochote alichokifanya Kikwete kwenye ukumbi wa kisiasa. Sehemu nyingi alizopitia ameboronga na anaendelea kuboronga tu. Ikija kwenye shule Mwandosya ana madarasa mengi zaidi ya Kikwete na amepata mafanikio makubwa pale chuo kikuu, hivyo kwenye siasa Kikwete hajafanya lolote la kumzidi Mwandosya zaidi ya kujikanyagakanyaga tu kwa kifupi hana mafanikio yoyote, ukija kwenye madarasa Mwandosya ni mlima ukimlinganisha na kichuguu.

Hebu twambie Kikwete kafanya lipi katika ukumbi wa siasa ambalo linamfanya yeye awe zaidi ya Mwandosya?
 
Bubu ataka kusema,
Mzee wangu tumwache JK kama JK tusitake kulinganisha watu hata kidogo....kwani accomplishement za JK ni kubwa sana kama vile Utajiri. JK anazo ngawila kisha wataka kumradharau tu kwa sababu hana elimu kubwa. Huwezi kupima mafanikio ya mtu kwa sababu ya elimu yake ama ukubwa wa Umbo.. JK is the President of Tanzania at age 55. Mjomba Mwa - can't beat that..
Nachojua mimi Mwandosya hawezi kuondolewa ktk madaraka kwani anaifanya kazi yake vizuri na amewekwa mahala ambapo hawezi kupumua vizuri.
CCM ni Mafia wakiamua kumtosa wanaweza na wanaweza kuhakikisha maisha yake yanakuwa mabaya zaidi...Kumbukeni kina Chief Fundikira, Jumbe, Mtei na majuzi akina Lamwai ambaye kama Mungu tu mwenyewe alikubali kurudi nyumbani kwao CCM ama sivyo mambo yalikuwa mabaya sana. Tazameni SAS alivyopakwa hadi wanaamua mwenyewe kupumzika na siasa..msifanye mchezo na siasa wajomba siasa haina elimu wala mtoto wa Sultan.
Mwandosya sio tishio kabisa ila ni chachu nzuri kwao kuweza kupata the other side ya shilingi. Kwa hiyo wataendelea kumtumia ili kupata hoja za upande wapili wa shilingi yao CCM...Chachandu kama hii JK anajua anaihitaji sana pamoja na kwamba picha haziendi.
Jamani, CCM ni gonjwa baya sana ukisha ingia mjomba inaweza kukupandisha chat na kukushusha kama hukuwepo duniani. JK mwenyewe kapandishwa na watu ktk jukwaa la siasa na kifupi naweza sema kuna watu wachache sana wanasiasa ndani ya CCM..
Mtazame mtu kama Freeman, huyu kazaliwa na kipaji hiki na naweza sema Mwandosya hawezi kusimama na Freeman ktk lingo la siasa kwa round tatu tu acha huyo JK. Lakini will Freeman make a good Presida? hilo swala jingine tena.... Hata huyo Busha anayeitwa shetani kasoma lakini nchi inamshinda.
Mwandosya is a goodman, well educated lakini hana kivutio cha kushika Urais!..Pomoja na elimu yake kisha boronga mangapi yanayotakiwa elimu?...
 
Bubu ataka kusema,
Mzee wangu tumwache JK kama JK tusitake kulinganisha watu hata kidogo....kwani accomplishement za JK ni kubwa sana kama vile Utajiri. JK anazo ngawila kisha wataka kumradharau tu kwa sababu hana elimu kubwa. Huwezi kupima mafanikio ya mtu kwa sababu ya elimu yake ama ukubwa wa Umbo.. JK is the President of Tanzania at age 55. Mjomba Mwa - can't beat that..
Nachojua mimi Mwandosya hawezi kuondolewa ktk madaraka kwani anaifanya kazi yake vizuri na hana mahala pa kupumua.
CCM ni Mafia wakiamua kumtosa wanaweza na wanaweza kuhakikisha maisha yake yanakuwa mabaya zaidi...Kumbukeni kina Chief Fundikira, Jumbe, Mtei na majuzi akina Lamwai ambaye kama Mungu tu mwenyewe alikubali kurudi nyumbani kwao CCM ama sivyo mabo yalikuwa mabaya sana. Mwandosya sio tishio kabisa ila ni chachu nzuri kwao kuweza kupata the other side ya shilingi. Kwa hiyo wataendelea kumtumia ili kupata hoja za upande wapili wa shilingi yao CCM...Chachandu kama hii JK anajua anaihitaji sana pamoja na kwamba picha haziendi.
Jamani, CCM ni gonjwa baya sana ukisha ingia mjomba inaweza kukupandisha chat na kukushusha kama hukuwepo duniani. JK mwenyewe kapandishwa na watu ktk jukwaa la siasa na kifupi naweza sema kuna watu wachache sana wanasiasa ndani ya CCM..
Mtazame mtu kama Freeman, huyu kazaliwa na kipaji hiki na naweza sema Mwandosya hawezi kusimama na Freeman ktk lingo la siasa kwa round tatu tu acha huyo JK. Lakini will Freeman make a good Presida? hilo swala jingine tena.... Hata huyo Busha anayeitwa shetani kasoma lakini nchi inamshinda.
Mwandosya is a goodman, well educated lakini hana kivutio cha kushika Urais!..Pomoja na elimu yake kisha boronga mangapi yanayotakiwa elimu?...

Kuwa Rais siyo kigezo cha mafanikio katika siasa ama maisha ya mwanadamu. Hata Bush ambaye kila kitu alichofanya katika utu uzima wa maisha yake aliboronga vibaya sana, leo huyo Rais wa super power kwa term mbili na tunajua jinsi alivyoboronga katika vipindi hivyo viwili vitakavyoisha mwaka 2008. Ataacha deficit kubwa kuliko Rais yeyote wa marekani ameacha reputation mbaya ya Marekani katika nchi nyingi duniani hata zile ambazo ni marafiki wakubwa wa Marekani. Na baadhi ya wanahistoria wameshadai kuwa ni the worst president ever!

Kwa mantiki hiyo basi sioni sababu yoyote ile eti kwa kuwa Kikwete amekuwa rais wa Tanzania basi aonekane amefanikiwa katika ukumbi wa kisiasa.

Mafanikio yanakuja pale ambapo wale unaowaongoza kama kiongozi wanatamka hivyo na kutoa mifano mbali mbali ya mafanikio yako. Kwa sasa katika sehemu mbali mbali alizopitia Kikwete sijasikia mafanikio yoyote ya wale aliowaongoza ila kuboronga kulikuwepo na ushahidi wa kutosha upo.

Kama kuwa Rais wa nchi nyinyi mnaona ni mafanikio katika ukumbi wa kisiasa bila kujali mtu huyo amefanikiwa vipi katika kunyanyua maisha ya wale anawaongoza, basi hapo tunatofautina. Kikwete bado ana muda mwingi wa kuhakikisha anapata mafanikio makubwa katika siasa katika kipindi chake kilichobaki mpaka 2010 na kama atachaguliwa tena mpaka 2015 na Watanzania wanaweza kabisa kumkumbuka kwa mafanikio yake, lakini mpaka sasa hivi mimi sioni mafanikio yoyote.

Hizo ngawira za Kikwete zimepatikana kihalali ama ndiyo kama yale yale ya utajiri wa viongozi wengi wa Tanzania? Wao wananeemeka wakati mamilioni ya Watanzania maisha yao ya kila siku yanazidi kuwa magumu
 
Mafanikio kwenye siasa yanapimwa vipi?


Wananchi wenyewe wanaweza kuyapima hayo. Kwa mfano Nyerere anasifiwa kwa kuleta umoja miongoni mwa watanzania kwa kuondoa ukabila na kuifanya Tanzania iwe na lugha ya Taifa.

Sera ya Nyerere kuhakikisha watoto wote wa Kitanzania watasoma bure kuanzia shule za msingi hadi chuo kikuu. Hii pia Watanzania wanaona ilikuwa na mafanikio makubwa sio tu kwa Tanzania, bali kwa dunia nzima maana wasomi wengi katika nchi mbali mbali duniani ni matunda ya sera za Nyerere. Hili pia linasemwa na Watanzania wengi.

Sera ya vijiji ya ujamaa pamoja na kuwa haikuwa na mafanikio makubwa kutokana na utekelezaji duni, lakini ilikuwa ni nzuri na hasa ukitilia maanani ililenga kuwapatia huduma muhimu wananchi kama maji, zahanati, shule n.k.

Namna nyingine ya kupima mafanikio ya kisiasa ni opinion polls ambazo Tanzania bado hazina umaarufu mkubwa.
http://www.cnn.com/2007/POLITICS/11/09/congress.poll/index.html
 
Mwandosya has more credentials when it comes to public service than Kikwete. And in many ways, that counts more than political experience when it comes to development administration. Mwandosya was commissioner for energy for almost ten years (a position next to Permanent Secretary/Deputy Permanent Secretary); He was permanent secretary for seven years; he has been a minister for seven years; further, he is a top class researcher and academician, highly respected. UNDP and Princeton Universisty constantly asks him to go work in New York.

Kikwete was CCM district secretary while mwandosya was a senior civil servant (commissioner for energy); Kikwete became deputy minister for energy in 1988, then full minister in 1990. In 1990, Mwandosya was permanent secretary, the highest civil service post in Tanzania.

Comparison:
Cabinet Position
JK: 17 years
Mwandosya: 7 Years

Member of parliament:
JK 20 years
Mwandosya 7 years

Civil Service:
JK - 0 Years
Mwandosya 12 years

Leadership within CCM:
JK 20 years i.e. 1977 - 1988 (district level); 1987 - 2005 (NEC); 2005 - present (CCM National Chairman)
Mwandosya 5 years 2002 - 2007 (NEC).

Research and academics:
JK - 0 years
Mwandosya almost 20 years

Presidency:
JK 2-3 Years
Mwandosya most admired by rational thinkers 2005 and strong candidate for 2015.

Whos is on top? It is at least open to discussion because using experience alone means kingunge, mungai, msekwa and others are on top of Kikwete. Or is it the case? What about people like the late Sokoine, he wasnt there for long, does it mean all of the above where better? Here, bias, value judgment and fiction may override facts and reasonable criterion when it comes to judging who is a better leader than the other.

Also it is not correct to compare freeman mbowe and mwandosya. One on one, Mwandosya can eat Mbowe live on matters pertaining to development management. Fair enough, Mwandosya is not a politician but he is a very good public speaker and has extensive knowledge on various developmental issues.

Further, becoming the president at 55 is not an issue. One should not ignore the circumstances that put JK in power.

I would say Mwandosya is more rounded and has more capability than Kikwete on matters pertaining to development administration. However, it does not mean Mwandosya is invincible, he is still vulnerable and for a certain there are other Tanzanians that we do not know much of who can out shine both of these current politicians in a fair comparative analysis.
 
Mimi kabla ya kutaka kuwajua hao walio mkataa JK napenda kujua walio gombani nafasi za juu zile 3 .Nimewajua 3 yaani JK ,Msekwa na Karume . Nimeona asilimia kibao ila sijajua wamezipata agaisnt who ? Hapa mkinisaidia nitakuwa na amani .
 
"Bila ubishi wowote Mwandosya ni zaidi kuliko Kikwete. Kikwete hana ubavu wa kushindana na Mwandosya siku yoyote ile",

Mkuu Bubu,

Heshima mbele mkuu, hizi statement ndizo zilizotufanya tumchague Muungwana, bila ya kudai rekodi zake, here you are tumpeting exactly the same mantra bila evidence wala facts, uzaidi wa Mwandosya over Muungwana, unasababishwa na what as a political record? Kufundisha shule is one thing na kuongoza politicaly ni ni absolutely another different ball game!

What is Mwandosya political record inayomfanya awe zaidi ya Muungwana?[/QUOTE]

Oh God,
Walau Mwandosya is not mwanamtandao hivyo we dont expect him kuunda serikali ya kishikaji isiyo wajibishana kwa ajili ya kulindana, matokeo yake inatupeleka kuzimu! Damn!

I wish ninge kuwa na uwezo wa Kumwambia Mwandosya aache unafiki (kwani nina hakika hakubaliani na yanayo endelea!) afanye hima kutoka huko kuliokoa jahazi hakika linazama!
 
Ni wazo zuri. Lakini professor itabidi akalishwe chini na awe mkweli kutuelezea ni nini anataka kuifanyia Tanzania. Hatujasahau kwamba aliamua kugombea ubunge apate uwaziri na baadae kugombea urais kutokana na ugomvi wake binafsi na Kikwete kuhusu 'nani zaidi'.

Raiamwema,

Una uhakika vipi na hilo ulilolisema hapo juu?

Prof. Mwandosya alikuwa na nafasi ya kugombea ubunge toka miaka ya 90 lakini akaja amua kugombea mwaka 2000.

Sidhani aliamua kugombea ili tu kuendeleza ugomvi na JK.

Prof. Mwandosya sasa hana ugomvi na JK, ukiachia vimaneno vya pembeni vya wapambe wake. Si unajua TZ, wapambe ndio wabaya kuliko wenye nafasi, kula yao inategemea kuwepo kwa hao viongozi.

Prof. hana nia wala sababu ya kupambana na JK 2010, kwasababu anajua wazi kwamba haiwezekani maana JK ndio ataamua nani agombee. Prof sio mjinga kiasi hicho kwamba anaweza hata kudiriki kujaribu 2010.
 
Prof. Mwandosya ni katika walioandaa MKUKUTA ambao mimi naamini laiti ungetekekelezwa inavyotakiwa huenda tungelisogea hatua chache mbele.

JK sasa ni rais wetu na hakuna sababu tena ya kuendeleza ugomvi wake na prof. Badala yake kinachotakiwa ni kumtumia prof. kwa faida ya nchi.

Wala hata sidhani kama Prof. ni mmoja kati ya waliopiga kura za HAPANA, anajua wazi kura kama hiyo ilikuwa haina maana yoyote.

Kinachonisikitisha ni hili la JK kuonekana kama kumzibia prof. wakati yeye alipewa nafasi za maana na mpinzani wake Mkapa.

Ningelikuwa mimi JK, ningemfanya prof. kuwa PM. Naamini hapo prof angefanya kazi kweli kweli maana angeamini amewekwa hapo kama kukaangwa kwenye mafuta yake mwenyewe.

JK huwa anatabasamu muda wote lakini nafikiri ndani anachuki kubwa sana.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom