Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Naanza kwa kuwapa pole kwa msiba wanafamilia wa Chifu Marealle, poleni.
Ila nina ujumbe wao huu......
Siku hizi imekuwa taabu jamani, mara kuna mbio za chifu marealle, kumbukumbu maalumu ya chifu marealle chifu, chifu,chifu n.k
Jamani msitutishe na uchifu wenu bwana hata kwetu walikuwepo machifu tena walikuwa wapiganaji kwelikweli,!! lakini hayo yalifutwa yamepita....lakini hawa ndugu zetu wamezidi kuutangaza uchifu wao utadhani nchi hii wao tu ndiyo wametoka kwenye ukoo wa kichifu!!?? kila mtu akisema aanze kuutangaza uchifuchifu wake kama hawa jamaa itakuwa si itakuwa taabu? Sawa tuwakumbuke wazee wetu, lakini si "kiujiko ujiko hivi!"
ACHENI HIZO BANA!!!
Ila nina ujumbe wao huu......
Siku hizi imekuwa taabu jamani, mara kuna mbio za chifu marealle, kumbukumbu maalumu ya chifu marealle chifu, chifu,chifu n.k
Jamani msitutishe na uchifu wenu bwana hata kwetu walikuwepo machifu tena walikuwa wapiganaji kwelikweli,!! lakini hayo yalifutwa yamepita....lakini hawa ndugu zetu wamezidi kuutangaza uchifu wao utadhani nchi hii wao tu ndiyo wametoka kwenye ukoo wa kichifu!!?? kila mtu akisema aanze kuutangaza uchifuchifu wake kama hawa jamaa itakuwa si itakuwa taabu? Sawa tuwakumbuke wazee wetu, lakini si "kiujiko ujiko hivi!"
ACHENI HIZO BANA!!!