Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Ni kuwa wanawake wengi wanajishau tu,sababu hata kama unafanya kazi sio kisingizio kwani kuna wikend ambayo anaweza kuwa na familia yake,na pia kuna vitu na vitu vya kumwachia housegal afanye na vingine havifai kwani wewe mwanamke ulipokuwa unaolewa ulijua hivyo lakini ukifika tu ndani unasahau ghafla au nini!!!
Kwani na nyie huwa mnafanyaga nini? Mkishaoa that is!
Ina maana ukioa mikono yako inakatika? ulipkuwa hujaoa mbona ulikuwa unajifanyia kila kitu mwenyewe?