Kina Dada...

Mtoboasiri

JF-Expert Member
Aug 6, 2009
5,101
1,946
...ni kweli kwamba mkimpenda kijana (au mwanume) - an yeye akawa hajui kuwa anapendwa huwa mnamuonyesha chuki?

Swali langu linatokana na kisa cha kweli kifuatacho:

Kuna kijana tuliajiriwa nae mahali, bosi wetu akiwa mama mtu mzima. Baada ya muda mfupi mama akaanza kumwandama kijana hata kwa kisa kisichojulikana. Tulianza kumtania tukimwambia kuwa ameongezewa jukumu jipya kwamba "he will be responsible for anything that goes wrong."

Kijana yakamfika shingani, akasema kisa na mkasa? Akaacha kazi. Sasa karibuni naambiwa mama baada ya kuchapa kinywaji aliropoka akasema jinsi alivyokuwa anampenda kijana hadi kuumia!

Kina dada niambieni, yaweza kuwa kweli?
 
...ni kweli kwamba mkimpenda kijana (au mwanume) - an yeye akawa hajui kuwa anapendwa huwa mnamuonyesha chuki?

Swali langu linatokana na kisa cha kweli kifuatacho:

Kuna kijana tuliajiriwa nae mahali, bosi wetu akiwa mama mtu mzima. Baada ya muda mfupi mama akaanza kumwandama kijana hata kwa kisa kisichojulikana. Tulianza kumtania tukimwambia kuwa ameongezewa jukumu jipya kwamba "he will be responsible for anything that goes wrong."

Kijana yakamfika shingani, akasema kisa na mkasa? Akaacha kazi. Sasa karibuni naambiwa mama baada ya kuchapa kinywaji aliropoka akasema jinsi alivyokuwa anampenda kijana hadi kuumia!

Kina dada niambieni, yaweza kuwa kweli?

Duh mizee mingine bana laana tupu kiruuuuuuuu waiiiiiiii
 
Duh mi kama nampata huyo mama safi sana, anipe kazi maana sina kazi nnampa tu haki yake tena kwa ufundi mkubwa.
 
Wamejaa tele wa hivyo. Mie sikufanyii visa nakupa live tu nimekumind mshikaji unasemaje? nitakupa na safari zote za kikazi uende wewe halafu mie nakuja kesho yake au vipi
 
Wamejaa tele wa hivyo. Mie sikufanyii visa nakupa live tu nimekumind mshikaji unasemaje? nitakupa na safari zote za kikazi uende wewe halafu mie nakuja kesho yake au vipi

Halafu nikikataa utafanyaje? Fikiria kwamba mimi ni kijana pengine niliyeoa, ninayejiheshimu na ninakuheshimu wewe bosi wangu kama mamangu pengine. Unafikiri nitakukubalia kiurahisi tu kwamba haya tuendelee kwa vile unanipenda? Thubutu!! Hunipati ng'o!! Lakini sasa ninachojiuliza, nikishakataa hivyo hutanifanyia visa kweli? Maana kutakuwa kuna hali ya kujiona kama umedhalilika na hali ya kutojiamini, lazima tu uanze visa kwa vyovyote vile.
 
Duh mi kama nampata huyo mama safi sana, anipe kazi maana sina kazi nnampa tu haki yake tena kwa ufundi mkubwa.

utakufa siku si zako,
hapo ushawaza kulelewa,jitume uwe na uhuru wa kuwa na umpendae,vijana wa siku hizi bwana kupenda mimama tu!
 
Halafu nikikataa utafanyaje? Fikiria kwamba mimi ni kijana pengine niliyeoa, ninayejiheshimu na ninakuheshimu wewe bosi wangu kama mamangu pengine. Unafikiri nitakukubalia kiurahisi tu kwamba haya tuendelee kwa vile unanipenda? Thubutu!! Hunipati ng'o!! Lakini sasa ninachojiuliza, nikishakataa hivyo hutanifanyia visa kweli? Maana kutakuwa kuna hali ya kujiona kama umedhalilika na hali ya kutojiamini, lazima tu uanze visa kwa vyovyote vile.

Ukikataa kinachofata ni hicho kilichompata huyo kijana
 
aaaaaaaaaahhhhhhhhhh bwana mambo ya chuki mi wala siyajui..
ila kuna njia taalum ambazo tunatumi kumaonyesha kwamba tunawapenda..
bila hata ya kusema neno....
 
Back
Top Bottom