Kina dada wachunaji mko wapi?

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
2,696
740
Mimi ni Mhasibu. Nakaribia kumaliza mwaka nikiwa na 'surplus'(ziada). Hii ina maana matumizi yangu yamekuwa madogo ukilinganisha na nilivyopanga kutumia. Sehemu kubwa ya ziada imetokana na kina dada kutonichuna sana kama ilivyokuwa mwaka 2009.

Ombi langu ni kwa kina dada wanaojua kutumia kunitafuta ili tutafune pesa kabla ya mwaka huu kuisha. Mie nina pesa mpaka nachukia.
 
Mimi ni Mhasibu. Nakaribia kumaliza mwaka nikiwa na 'surplus'(ziada). Hii ina maana matumizi yangu yamekuwa madogo ukilinganisha na nilivyopanga kutumia. Sehemu kubwa ya ziada imetokana na kina dada kutonichuna sana kama ilivyokuwa mwaka 2009.

Ombi langu ni kwa kina dada wanaojua kutumia kunitafuta ili tutafune pesa kabla ya mwaka huu kuisha. Mie nina pesa mpaka nachukia.


Hebu ngoja aje Da sophy hapa, atawataja na wenzie...................tender nzuri hii
 
Wakisehema watu wenye majina yanayofanana na la kwako wana tabia za umalaya usibishe na wale usilalamike kuwa kabila lenu halipendwi na linachukiwa
Mimi ni Mhasibu. Nakaribia kumaliza mwaka nikiwa na 'surplus'(ziada). Hii ina maana matumizi yangu yamekuwa madogo ukilinganisha na nilivyopanga kutumia. Sehemu kubwa ya ziada imetokana na kina dada kutonichuna sana kama ilivyokuwa mwaka 2009.

Ombi langu ni kwa kina dada wanaojua kutumia kunitafuta ili tutafune pesa kabla ya mwaka huu kuisha. Mie nina pesa mpaka nachukia.
 
Mimi ni Mhasibu. Nakaribia kumaliza mwaka nikiwa na 'surplus'(ziada). Hii ina maana matumizi yangu yamekuwa madogo ukilinganisha na nilivyopanga kutumia. Sehemu kubwa ya ziada imetokana na kina dada kutonichuna sana kama ilivyokuwa mwaka 2009.

Ombi langu ni kwa kina dada wanaojua kutumia kunitafuta ili tutafune pesa kabla ya mwaka huu kuisha. Mie nina pesa mpaka nachukia.


Mh! Dunia hii!Kweli ishi uyaone.
 
inshallah allah akuzidishie ya rab,,,,toa sadqa,,, tafuta mke uowe,,,, saidia familia yako na nenda hijja na kuwa mtu mwema ndugu yangu mpenzi si kuanza kuwaza kuzini na kufanya maasi,,kumbuka kumshukuru alie kupa kwanza na kufanya mambo ya ibada ndio utaona manufaa zaidi wallah,,samahani kama nimekuudhi lakini ni ushauri wangu tu kwako
Mimi ni Mhasibu. Nakaribia kumaliza mwaka nikiwa na 'surplus'(ziada). Hii ina maana matumizi yangu yamekuwa madogo ukilinganisha na nilivyopanga kutumia. Sehemu kubwa ya ziada imetokana na kina dada kutonichuna sana kama ilivyokuwa mwaka 2009.

Ombi langu ni kwa kina dada wanaojua kutumia kunitafuta ili tutafune pesa kabla ya mwaka huu kuisha. Mie nina pesa mpaka nachukia.
 
Acha ulimbukeni ndugu, wenye hela lanafikiria kuinvest...
wewe masikini hata hicho chako kidogo unataka kukiteketeza
 
Wakisehema watu wenye majina yanayofanana na la kwako wana tabia za umalaya usibishe na wale usilalamike kuwa kabila lenu halipendwi na linachukiwa

pia wanalewa kwa sifa, ona hiyo aliyojipachika ya kuwa na pesa hadi anachikia. na utachunwa kweli mpaka mkobo wa HESLB uliopewa majuzi kisha uanze kulia shule ngumu!, shauri yako
 
Mimi ni Mhasibu. Nakaribia kumaliza mwaka nikiwa na 'surplus'(ziada). Hii ina maana matumizi yangu yamekuwa madogo ukilinganisha na nilivyopanga kutumia. Sehemu kubwa ya ziada imetokana na kina dada kutonichuna sana kama ilivyokuwa mwaka 2009.

Ombi langu ni kwa kina dada wanaojua kutumia kunitafuta ili tutafune pesa kabla ya mwaka huu kuisha. Mie nina pesa mpaka nachukia.

nilipe deni langu kabla hawajaanza hiyo kazi ya kukuchuna.
 
inshallah allah akuzidishie ya rab,,,,toa sadqa,,, tafuta mke uowe,,,, saidia familia yako na nenda hijja na kuwa mtu mwema ndugu yangu mpenzi si kuanza kuwaza kuzini na kufanya maasi,,kumbuka kumshukuru alie kupa kwanza na kufanya mambo ya ibada ndio utaona manufaa zaidi wallah,,samahani kama nimekuudhi lakini ni ushauri wangu tu kwako

umesema sahihi mamii
 
inshallah allah akuzidishie ya rab,,,,toa sadqa,,, tafuta mke uowe,,,, saidia familia yako na nenda hijja na kuwa mtu mwema ndugu yangu mpenzi si kuanza kuwaza kuzini na kufanya maasi,,kumbuka kumshukuru alie kupa kwanza na kufanya mambo ya ibada ndio utaona manufaa zaidi wallah,,samahani kama nimekuudhi lakini ni ushauri wangu tu kwako

Wala hujaniudhi. Dada hayo yote nimefanya lakini pesa haiishi? Na wala sitaki kuzini na mtu yeyote. Mimi ni mtu wa Mungu (kama wewe?)
 
sasa uchunwe kwa ajili gan ndugu yangu bora utoe sadqa mara elfu kumi kuliko kutafuta mwanamke ambaye si mkeo akuchune lazim bilisi apite hapo kama yote umefanya mpaka hijja umekwenda basi ukifanya unayotaka kufanya hakuna ibada utakayopata wallah naapa mana itakuwa sawa na kusokota kamba halafu ukaitupia kwenye moto nini utapata??? jitahid muepuke shetani huyo ni shetani abuy jenga hata miskiti uzidi kupata cheo cha dunia na akhera kuliko kuchunwa huoni kama ni upumbavu huo wa shetan???please....
Wala hujaniudhi. Dada hayo yote nimefanya lakini pesa haiishi? Na wala sitaki kuzini na mtu yeyote. Mimi ni mtu wa Mungu (kama wewe?)
 
Mimi ni Mhasibu. Nakaribia kumaliza mwaka nikiwa na 'surplus'(ziada). Hii ina maana matumizi yangu yamekuwa madogo ukilinganisha na nilivyopanga kutumia. Sehemu kubwa ya ziada imetokana na kina dada kutonichuna sana kama ilivyokuwa mwaka 2009.

Ombi langu ni kwa kina dada wanaojua kutumia kunitafuta ili tutafune pesa kabla ya mwaka huu kuisha. Mie nina pesa mpaka nachukia.

Hilo jina lako linasapot hyo thread yako.kila la heri bwana rwayemam, ah samahan rwegasira. oh sore kashaijabutege
 
Hilo jina lako linasapot hyo thread yako.kila la heri bwana rwayemam, ah samahan rwegasira. oh sore kashaijabutege

Kwani unahisi mimi ni kabila gani? Mie sio Mkwere tafadhali! Naona majina yote uliyotaja si ya kabila langu.
 
Jamani bado nasaka wachunaji. Kina dada warembo na wasio warembo wa JF mbona hamnitendei haki? Paka Mweusi, Preta, Rose, Cheusi, Mamshka, FL, na wengine mbona hamjitokezi? Njoo mle feza, sina masharti.
 
Mimi ni Mhasibu. Nakaribia kumaliza mwaka nikiwa na 'surplus'(ziada). Hii ina maana matumizi yangu yamekuwa madogo ukilinganisha na nilivyopanga kutumia. Sehemu kubwa ya ziada imetokana na kina dada kutonichuna sana kama ilivyokuwa mwaka 2009.

Ombi langu ni kwa kina dada wanaojua kutumia kunitafuta ili tutafune pesa kabla ya mwaka huu kuisha. Mie nina pesa mpaka nachukia.
hizo zilizozidi kampe mama yako mzazi atakushukuru na kukuombea heri
 
hahahahahahah
kichekesho jamani,,,,,,
hihihihihihihi
hohohohohoho
nadhani umekosa lakuongea

kumbuka kuna yatima na wajane, wagonjwa wasioweza kujilipia gharama za matibabu, wanakufa, bora ukawasaidie
ili upate thawabu kw Mungu aliyekupa pumzi ya bure,,,,, take care men
 
hahahahahahah
kichekesho jamani,,,,,,
hihihihihihihi
hohohohohoho
nadhani umekosa lakuongea

kumbuka kuna yatima na wajane, wagonjwa wasioweza kujilipia gharama za matibabu, wanakufa, bora ukawasaidie
ili upate thawabu kw Mungu aliyekupa pumzi ya bure,,,,, take care men

Kwani kuna ubaya kuwapa kina dada? Yote hayo nayajua.
 
Kashaijabutege... Siku zote itakua na surplus,kona zako unazopita vilabuni kwenye wanzuki ukihonga bia wajiona umetoa! limbukeni kama wewe nikikuchuna si utataka kuhamia kwangu? Ushauri wangu,
Oa mkeo atakuchuna vizuri kwa maendeleo endelevu na kumbuka kwa mwenye akili Siku zote Pesa haitoshi!
 
Back
Top Bottom