Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Aisee watu wanaongoza kwa kuweka password kwenye simu, hadi kwenye sms na kwenye phonebook. hivi mkaka/ mdada ukifa leo nani ataitoa lock kwenye simu yako.
uta flash iphoneNi mwendo wa kuflash tu Sim ikawa emty, ukakosa kuona vitu vyote.
Mimi mpenzi wangu anajua pattern zangu mimi pia najua zake,Kwa sababu tunashare vingi sana yani kwahiyo hatuwezi kufichana password za simu.
Hata passwords za bank accounts anajua na mimi najua zake.
Sema now balance inasoma buku tu 🙄🙄
weeeee unashare na yeye anashare za kwake au subiri mmoja apate hela nyingi zaidi ya mwenzio ndio itakuwa mwisho
Hapo ndio pagumuuta flash iphone
Lazima tucheki wewe acha kututisha, na kwa taarifa yako tunatengeneza kadem kaku_spy 😊😊😊 tujuwe ushenzi wa marehemu.Tena mimi inabidi niliweke clear hili jambo.
Nikidedi simu yangu asiifungue mtu.
Kama kuna mtu anataka kuitumia basi aiflash iwe kama mpya yaani afute kila kitu..
Yaani kumbe kuna watu wana mipango ya kucheki vitu vya marehemu akishadedi huu ni ushenzi
Kwenye hizi takataka za mchina (Tecno, itel, huawei, vodafone n.k) Password, pin na pattern zinatoka kirahisi sana labda kwenye iPhone. Kitu haiflashiwi wala nini. Mm ukiwa na simu yako au computer dk 3 nyingi nishadukua kila kitu.Aisee watu wanaongoza kwa kuweka password kwenye simu, hadi kwenye sms na kwenye phonebook. hivi mkaka/ mdada ukifa leo nani ataitoa lock kwenye simu yako.
Hiyo takataka utawasumbua ambayo hawajui simu. Mm na mke wangu wala hatujaweka password, pin, pattern au fingerprint. Yeye mwenyewe ananijua vizuri kwenye issue ya kudukua.Nitaitoa mwenyewe maana ina fingerprints..