kimya kimya

Viva89

JF-Expert Member
Sep 28, 2012
1,261
525
wanaume wengne jamani mna roho ngumu cjapata ona...mtu hajatafutwa toka ijumaa,kabla ya hapo cjui linii..piga simu wee, kwishneh!kitu long distance,kila mara kulalamika mawasiliano yameisha unajibiwa majibu ya ajabu...ndo yale yaleee ya thread iliyopita mtu unaachwa kimya kimya...inaumiza watu,dah...nimeona niseme tu,mapenzi haya!usicheze na mioyo wa watu jamani..
 
Kwani katiba yenu ya kutafutana inaeleza vipi suala la kuchuniana siku mbili au tatu?
 
Pole my dear,..ongea nae b4 hujaconclude,bt kiukwel dalili ndo hzohzo,af kw kizaz hki ambacho cm tunashika kila saa si ajabu inaita mbele ya macho yake anaikaushia,jipe moyo ukimsahau u wl b even more happier japo ts easier said than done
 
Pole sana ila dalili za mvua hizo... ukiongea nae itasaidia kujua zaid endelea kumtafuta
 
majanga kweli...acheni tu,nimechoka mimiiii Mungu anajua
 
Labda kaponyoka.......

Umeona eeh? Siyo siku zote manyoya yanaashilia kuliwa,,,wakati mwingine huwa kaponyoka kaacha manyoya..
Ila mapenzi ya mbali ni kupoteza muda na kutafuta "finger on the trigger" bure!
 
hahahaha...chezea limoyo likiwa mbali ww...out of sight...out of mind...out of time to decide...do we run?should i hide? for the rest of my life...(mwanzo wa ule wimbo wa 30 minutes by TaTu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom