Jamvini!!
Mbona kimya hiki kinanipa wasiwasi? Huyu Mpambanaji wetu Dr Slaa yuko huru na salama kweli? Watanzania chungu nzima hatukukubaliana na matokeo ya Tume ya Uchaguzi, lakini mbona subiri subiri inataka kutuumiza matumbo? Au zile tetesi za kwamba Dr Slaa yuko kwenye kizuizi cha nyumbani ni za kweli?
Mbona kimya hiki kinanipa wasiwasi? Huyu Mpambanaji wetu Dr Slaa yuko huru na salama kweli? Watanzania chungu nzima hatukukubaliana na matokeo ya Tume ya Uchaguzi, lakini mbona subiri subiri inataka kutuumiza matumbo? Au zile tetesi za kwamba Dr Slaa yuko kwenye kizuizi cha nyumbani ni za kweli?