luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,257
Baada ya Franco kumuimbia mobutu huo Wimbo candidate de mobutu nilioutafsiri hapo juu,mobutu alifurahi mno alimzawadia franco malori 6 makubwa,akampa na eneo katikati ya jiji la Kinshasa Franco akajenga bar kubwa iliyoitwa ok bar
Prmben ya hiyo bar ndipo yalikuwa makao makuu ya bandi yake TP OKK JAZZ
Hadi Leo hiyo night club IPO na inaendeshwa na kijana pekee wa Franco aitwae YVES EMONGO LUAMBO, kijana huyu pia anasimamia mali za babá yake huko Brussels ,Paris na Amsterdam
Kwa bahati mbaya sijawahi kumjua mke/ wake za Franco luambo luanzo makiadi
Franco kipindi hicho ndiye alikuwa msanii mwenye hela kuliko wote Africa ,inakadiriwa kuwa Franco Hadi anafariki alikuwa na albamu zaidi ya 100 huku nyimbo zake single zikiwa 1200+
Prmben ya hiyo bar ndipo yalikuwa makao makuu ya bandi yake TP OKK JAZZ
Hadi Leo hiyo night club IPO na inaendeshwa na kijana pekee wa Franco aitwae YVES EMONGO LUAMBO, kijana huyu pia anasimamia mali za babá yake huko Brussels ,Paris na Amsterdam
Kwa bahati mbaya sijawahi kumjua mke/ wake za Franco luambo luanzo makiadi
Franco kipindi hicho ndiye alikuwa msanii mwenye hela kuliko wote Africa ,inakadiriwa kuwa Franco Hadi anafariki alikuwa na albamu zaidi ya 100 huku nyimbo zake single zikiwa 1200+