Kimoro: DC aliyevuruga sector ya kahawa,CHADEMA iwe na tahadhari

janken mbisso

JF-Expert Member
Dec 25, 2012
248
71
Alipokuwa DC Mbozi, Kimoro alijipambanua kuwa mpingaji wa sera ya serikal ktk biashara ya kahawa hasa leap/red cherry,akapigania maslahi binafsi na ya kundi la walanguzi waliokuwa wamechanga hela hapa Mlowo ili awapiganie,mwisho ameua ubora na thaman ya thaman ya kahawa ya tz akishirikiana na Adolph Kumburu na Mwakipesile mkuu wa mkoa mstaafu.

Kampun zilikuwa zimekeza na kuajili watz kibao mf. Lima ltd zikajiondoa,ivo kupelekea kuachishwa wafanyakazi wa kudumu zaidi ya 600 na vibarua wa muda zaid ya 1000.
 
alipokuwa dc mboz kimoro alijipambanua kuwa mpingaji wa sera ya serikal ktk biashara ya kahawa hasa leap/red cherry,akapgania maslah binafs na ya kund la walanguz waliokuwa wamechanga hela hapa mlowo ili awapganie,mwisho ameua ubora na thaman ya thaman ya kahawa ya tz akishirikiana na Adolph kumburu na mwakipesile mkuu wa mkoa mstaafu.kampun zilikuwa zimekeza na kuajil watz kibao mf. Lima ltd zikajiondoa,ivo kupelekea kuachishwa wafanyakaz wa kudum zaid ya 600 na vibarua wa muda zaid ya 1000.

Mjinga kabisa huyu Kimolo, -------- sijui kwanini CCM walimuacha mpaka sasa hivi.

Kutoka CCM ni ushindi kwa wazalendo wa nchi hii. Huyu nu mla rushwa, mbadhilifu na kila alipopelekwa alichafua. Kama mnamfukuza Zitto na kumpokea Kimolo, mjue mmepokea msaliti na 1.
 
alipokuwa dc mboz kimoro alijipambanua kuwa mpingaji wa sera ya serikal ktk biashara ya kahawa hasa leap/red cherry,akapgania maslah binafs na ya kund la walanguz waliokuwa wamechanga hela hapa mlowo ili awapganie,mwisho ameua ubora na thaman ya thaman ya kahawa ya tz akishirikiana na Adolph kumburu na mwakipesile mkuu wa mkoa mstaafu.kampun zilikuwa zimekeza na kuajil watz kibao mf. Lima ltd zikajiondoa,ivo kupelekea kuachishwa wafanyakaz wa kudum zaid ya 600 na vibarua wa muda zaid ya 1000.

Mjinga kabisa huyu Kimolo, -------- sijui kwanini CCM walimuacha mpaka sasa hivi.

Kutoka CCM ni ushindi kwa wazalendo wa nchi hii. Huyu nu mla rushwa, mbadhilifu na kila alipopelekwa alichafua. Kama mnamfukuza Zitto na kumpokea Kimolo, mjue mmepokea msaliti na 1.

Haya mnayoyaandika sasa kwa nini hamkuyaandika wakati ule akiwa DC na alipoacha uDC mnayaandika sasa baada ya yeye kuingia CHADEMA hii sasa inaniaminisha kuwa Wachafu wote wapo CCM na ndio maana alipokuwa huko mlinyamaza lakini kwa kuwa wasafi wote wapo CHADEMA mnapiga kelele kwa kuwa huyo ni mchafu anataka kuingia kwa wasafi
 
Haya mnayoyaandika sasa kwa nini hamkuyaandika wakati ule akiwa DC na alipoacha uDC mnayaandika sasa baada ya yeye kuingia CHADEMA hii sasa inaniaminisha kuwa Wachafu wote wapo CCM na ndio maana alipokuwa huko mlinyamaza lakini kwa kuwa wasafi wote wapo CHADEMA mnapiga kelele kwa kuwa huyo ni mchafu anataka kuingia kwa wasafi

Wewe andika mazuri yake, wakati hawa wanaandika uchafu wake. Kimolo hana tofauti na nguruwe
 
alipokuwa dc mboz kimoro alijipambanua kuwa mpingaji wa sera ya serikal ktk biashara ya kahawa hasa leap/red cherry,akapgania maslah binafs na ya kund la walanguz waliokuwa wamechanga hela hapa mlowo ili awapganie,mwisho ameua ubora na thaman ya thaman ya kahawa ya tz akishirikiana na Adolph kumburu na mwakipesile mkuu wa mkoa mstaafu.kampun zilikuwa zimekeza na kuajil watz kibao mf. Lima ltd zikajiondoa,ivo kupelekea kuachishwa wafanyakaz wa kudum zaid ya 600 na vibarua wa muda zaid ya 1000.

acha uongo wewe unaijua kahawa wewe wala hujuwi hata chembe la sakata la zao la kahawa kwa wilaya yetu kamuulize comred Nzambi (MB) ndy anajua kazi kubwa aliyoifanya Kimoro hawa unaosema Lima ambao mdau wa kiwanda hicho ni Profesa Magembe hao ndy wameua soko la kahawa na walikuwa bado wanang'ng'ania kununua kahawa mbivu (cherry) mpaka wadau tulipozika biashara ya kahawa (chery) pale morogoro nao wameona hakuna ulanguzi wamekimbia kiwanda wameuza hicho kiwanda kiliajiri wafanyaazi wasio pungua 150 jumla na vibarua na wala sio 600 au 1000 acha kuandika uongo mshenzi mkubwa ww ivi unajua production ya kahawa kwa nchi yetu kwa mwaka mpaka ukataja wafanyakazi hao fanya reseach kubwa ndiyo uongee usilete upotoshaji kama wa chama chenu hicho cha kichaga me sijari kaenda chama gani ila naona ni shujaa wetu alitupigania na baadae mafisadi wakamaliza na hasa kupeleka uongo kwa Mh Rais
 
nafikir me nifanye ufafanuz,kwenye biashara ya kahawa hasa soko la dunia lina ushndan sana unaotegemea ubora wa kahawa.kahawa kutoka nchi nyng za dunia ya 3 hasa kutoka AFRICA mara nyng inapata bei hafifu kutokana na kuwa na ubora wa chn ukilinganisha na nchi za dunia ya 1 na ya pili kama Brazil,colombia n.k. kutokana na nchi nyng za Africa kilimo chake ktegemea smallholders jukumu la kuprocess kutoka leap cherry mpaka mpaka parchment sio la mkulima binafs ktk nchi nying,ni jukum la vyama vya ushirika au
 
Hakika leo nimejua kwa nini sisim inajimaliza, unachokisema kimenifanya nitafute kadi ya CDM maana namjua kimoro ni mchapa kazi, tumeona utendaji wake akiwa mbozi na makete, anatetea wananchi. unachokifanya ni sawa na leo useme Mandela alikuwa kibaraka wa Makaburu sidhani hata mkeo na watoto watakuunga mkono. 2015 inakaribia nawashauri mfanye utafiti wa kutosha kabla ya kumshambulia mtu eti, itawamalizeni wenyewe mmesahau ya Arusha na Arumeru naona Mwigulu kwa mbali ameanza kuelewa na hata kinana katibu wenu.
 
kimoro ni gaka tu,ajiuzulu baada ya mkakati wake na walanguz wa kahawa kushindwa uku akiwa amekula adv ya wenye vitund vya kahawa hapa mboz na pia kustukia kuwa hayumo kwny uteuz upya,alitumiwa mno na mwakipesile na kumburu,labda kabadilika.namkumbuka cha pombe
 
Mimi ni bwana shamba huku mbozi, ninachojua kuhusu mstakabali Kimolo akiwa mbozi alikuwa akiangalia maslahi ya mkulima wa chini ambaye kwa kuwepo biashara ya red cherry imemfanya awe tegemezi ktk kilimo chake cha kahawa.
Ngoja nieleze mantiki ikoje: Kahawa huwa haiivi kwa wakati mmoja shambani, leo unavuna baada ya muda unavuna tena. Mkulima anapovuna hicho kidogo anakipeleka kuvuna siku hiyo hiyo, inatokea kwamba mpaka shamba linaisha hana kahawa ndani, hana pesa ndani, hana pembejeo ndani! Pia biashara hii ya red cherry imeleta janga kubwa sana, wanaita pank, yaani baada ya mkulima kuuza kahawa yake kidogo kidogo, na kubaki akiwa hana pesa ya kununulia mbolea, inabidi akachukue kwa mtu, aji commit kulipa kahawa wakati wa mavuno kwa bei ya chini sana! Wasiojua madhara ya biashara hii watamuona Kimolo mbaya!
 
Back
Top Bottom