Darlis2016
Member
- Nov 3, 2016
- 81
- 25
Habari wakuu, naomba kuelemishwa. Kuna madhara yoyote kimo cha mimba kuwa tofauti na umri wa mimba? Mke wangu umri wake wa mimba ni wiki 37+6 na kimo cha mimba ni 40. Na hii ni mimba ya pili kwake. Naomba msaada wenu wataalamu.