Kimeumana! Gambo amshukia kama mwewe mkurugenzi wa jiji la Arusha

Gambo ni mzee wa mabifu:
Alianzia Korogwe- Degree za chupi

Akaja kwa Lema

Akaenda kwa Mkurugenzi

Akaenda kwa DC yule TISS wa kimbulu

Akaenda kwa Mwendazake

Sasa hivi karudi kwa Mkurugenzi
 
Kwahio Gambo alitumia muda wa Mkutano huo kumshukia Mkurugenzi ?

Si hayo angeyafanya baadae na kutumia Mkutano huo kufanya kilichopangwa kifanyike
 
🤣🤣Huyo ndiye Komredi Mrisho Gambo.....

Labda Dr.Pima hamjui vizuri El Comandante Gambo.....

Aulizie nguvu zake kipindi kile cha CCM STAMINAZ ya kina Komredi James Ole Millya na komredi Ally Bananga Mwatiga.....

Dr.Pima akaziulizie nguvu za Komredi Gambo kwa mama yetu Komredi Mary Chatanda.......

My take:

MBUNGE ana haki ya kualikwa katika miradi ya MAENDELEO...Awe wa CCM ama upinzani....Wabunge ndio wanaotunga sheria zetu.....


#SisiNiWamojaChiniYaChifuMkuuHangaya
#NchiKwanzaKablaYaMaslahiYetuNaNafsiZetu

SIEMPRE CCM
Viti Maalum...
 
Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.

Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.

Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.

"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.

Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.

Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.

Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.

Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.

Kweli kabisa Bwana Mongella, ni ukweli usiofahamika na wengi kuwa mameneja katika taasisi nyingi wakielewana sana, maendeleo huwa hayaji. Wakishaelewana wanapanga njama za kupiga tu, ila wakitofautina wanaogopana na kazi zinaenda sawa.
 
Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.

Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.

Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.

"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.

Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.

Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.

Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.

Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.


Kwa Lema ilikuwa sawa lakini yeye akiguswa nongwa.
 
Isitoshe Gambo hakushinda uchaguzi kura ziliporwa hadi ilisikitisha.

Gambo na Askofu Rashid hawana tofauti.
 
Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.

Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.

Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.

"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.

Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.

Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.

Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.

Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.

What goes around comes around
 
Kwani mbunge alipokuwa Lema, Gambo ilikuwaje?

Nani amemsahau mbunge huyu wa jiwe akiwa RC?
Hivi ni Gambo huyu huyu aliyekuwa akimnyanyasa God bless Lema, kwani wakati huo yeye hakujua kwamba Lema ni mbunge kachaguliwa na wananchi?! Ama kweli siasa si hasa!
 
Gambo alichaguliwa na mwananghi gani? Kama sio figisu angemshinda Lema? Mwambieni akae kwa kutu
Gambo hafai kuwa kiongozi wa Aina yeyote ana kiburi Sana.
Alivyokuwa DC Arusha mjini alivyokuwa anamfanyia Tibenda.hayakuwa na utu.
Malipo hapahapa duniani.
 
Gambo hafai kuwa kiongozi wa Aina yeyote ana kiburi Sana.
Alivyokuwa DC Arusha mjini alivyokuwa anamfanyia Tibenda.hayakuwa na utu.
Malipo hapahapa duniani.

Hayo ndiyo yalikuwa majembe ya mwendazake:

Gambo, Sabaya, Makonda, bashiri, pole pole bila kumsahau huyo mwamba hapo, mjumbe wetu Madagascar:

IMG_20210806_053407_437.jpg
 
Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.

Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.

Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.

"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.

Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.

Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.

Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.

Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.

Hivi ni kweli Gambo hajui kwamba hata yeye huo Ubunge aliwekwa hapo na mtu mmoja yule mwendakuzimu?
 
Gambo huu unaweza kuwa msimu wake wa mwisho bungeni. Ajue CCM inaweza kumuondoa kirahisi sana kulivyo anavyodhani.

Anapenda sana kukwaza watendaji wengine na hiyo itamuondolea kama haijamuondolea heshima.
 
Gambo acha kelele, umesahau uliyokuwa ukimfanyia Lema?! What goes around comes around na omba huyo DED asifike October 2025.
 
Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha, Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.

Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.

Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.

"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.

Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.

Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.

Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.

Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.

Gambo mshindi
 
Back
Top Bottom