Kimeumana! Gambo amshukia kama mwewe mkurugenzi wa jiji la Arusha

tena tulivyo na hasira naye huyu gambo, tutamchukulia fomu MKURUGENZI japo hajasema nia, mbaaaafu kabisa hiki kitoto cha ilala huko dar kinasumbua watu hapa
 
Wewe gambo mheshimu huyo Pima kwani alikutangaza Kama mshindi wa ubunge jimbo la Arusha mjini wakati ulikuwa haujashinda.
Kila MTU anajua hilo
 
Kama Gambo ni mwadilifu angeonyesha uadilifu wake kwa kuwakemea wakurugenzi kwa kuwatangaza CCM wote washindi kwa kupitia kura fake na ajiuzuru ubunge wake kwa kuwa hakupata kihalali.
 
Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.

Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.

Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.

"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.

Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.

Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.

Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.

Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.

What goes around comes around. You are a good leader so to speak, but remember, you now harvest what you planted upon your predecessor,Mr Lema.

"What you sow is what you receive in return" It is simply called,the law of reciprocity.

I am very sorry for you. However I gonna pray for you!!
 
Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.

Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.

Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.

"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.

Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.

Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.

Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.

Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.

Huyu mpumbavu alimzinguaga sana Lema wacha nae apate Karma yake. Blaaaalifaken
 
Wale wa miaka ya 90 hii tunaita " uzamiaji" si alizamia pia uwekaji wa jiwe la msingi hospital ya mama na mtoto enzi ya lema akaharibu pia?
 
Laana ya kumdhalilisha Rais ,Magufuli ambaye alimpa ukuu wa mkoa na pia ubunge imeanza kuonekana. Huyu Gambo hatabaki salama .Ni mpuuzi Fulani.Nafikiri akapimwe akili.
acha adhalilike,aliwapa ubunge kwa hila na dhulma. kabla ya hapo Magu aliteua hawa wahuni ili kuiua Chadema Arusha
 
Balancing of stories

Je Pima alipewa fursa ya kujibu mapigo!!?
 
Eti kachaguliwa na wananchi! Wananchi gani hao anaowazungumzia? Sasa dawa yake huyo mkurugenzi abakishwe hapo hadi 2025 asimamie uchaguzi mkuu halafu hao wananchi wamchague tena.
Strong fact 🤣😆😂🤌🤌🤏🤏👍👍
 
Nawaona
Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.

Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.

Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.

"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.

Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.

Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.

Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.

Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.

Halaiki wameinamisha vichwa ikiashiria kuna jambo halipo sawa

Mkurugenzi anakula matapishi yake ya 2020
 
Back
Top Bottom