Mtu yeyote atakayesimama against huyu Gambo nitamchangiatena tulivyo na hasira naye huyu gambo, tutamchukulia fomu MKURUGENZI japo hajasema nia, mbaaaafu kabisa hiki kitoto cha ilala huko dar kinasumbua watu hapa
What goes around comes around. You are a good leader so to speak, but remember, you now harvest what you planted upon your predecessor,Mr Lema.Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.
Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.
Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.
"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.
Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.
Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.
Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.
Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.
Huyu mpumbavu alimzinguaga sana Lema wacha nae apate Karma yake. BlaaaalifakenMbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.
Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.
Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.
"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.
Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.
Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.
Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.
Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.
Menyewe kwa menyewe hiyoKwa kuwa upinzani haupo madarakani, sasa ni wao kwa wao, CCM kwa CCM wenyewe kwa wenyewe
Alimfanyia vitimbi vile alikuwa akiikodolea macho ss leo imemgeukaKwani mbunge alipokuwa Lema, Gambo ilikuwaje?
Nani amemsahau mbunge huyu wa jiwe akiwa RC?
Wanaelekea Pabaya Watauwana Ccm vs CcmKwa kuwa upinzani haupo madarakani, sasa ni wao kwa wao, CCM kwa CCM wenyewe kwa wenyewe
acha adhalilike,aliwapa ubunge kwa hila na dhulma. kabla ya hapo Magu aliteua hawa wahuni ili kuiua Chadema ArushaLaana ya kumdhalilisha Rais ,Magufuli ambaye alimpa ukuu wa mkoa na pia ubunge imeanza kuonekana. Huyu Gambo hatabaki salama .Ni mpuuzi Fulani.Nafikiri akapimwe akili.
Dah!...hii kaliHata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.
Strong fact 🤣😆😂🤌🤌🤏🤏👍👍Eti kachaguliwa na wananchi! Wananchi gani hao anaowazungumzia? Sasa dawa yake huyo mkurugenzi abakishwe hapo hadi 2025 asimamie uchaguzi mkuu halafu hao wananchi wamchague tena.
Halaiki wameinamisha vichwa ikiashiria kuna jambo halipo sawaMbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.
Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.
Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.
"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.
Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.
Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.
Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.
Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.