Serikali na mkono wake mrefu ndio ukatwe na Tanesco!!! Wakuifumua ndio huyo anasema suluhu sio fukuza fukuza, nawakumbisha tena this is Africa.TANESCO inapaswa ifumuliwe yote, inaonekana baadhi ya watumishi wa Tanesco wanaihujumu Serikali, hivyo waziri na watendaji wake watupie jicho kila kona ya Tanesco
Zito anawapenda sana Kikwete na Makamba.Mawazo ya zitto yangefanyiwa kazi yangesaidia japo hayana maana na faida kwa sasa
Kuna watu ni kama wachawi aseeeOhh mabwawa maji yamepungua
Sasa inabidi tutumie mitambo tuzalishe umeme😂
Soon utasikia hiyoo
Ova
Kichaa upo ubelgijiHuyu kichaa karudishiwa lini uspika!
Naamini hadi sasa ameshatupiga saaana!Hakuna wizara iliyoongozwa na January ikafanikiwa, huyu dogo anachojua ni kutengeneza michongo ya kupiga tu.
No no no, tatizo Makamba aliingia na mbwembwe, yaani Kalemani hakuwa mzuri kwa mahusiano na TANESCO ila aliweza kufanikisha mambo mengi, pila Dkt Magufuli alikuwa mtu pekee akisema hataki uzembe kila mtu anaelewa ila kwa sasa mdebwedo debwedoTANESCO inapaswa ifumuliwe yote, inaonekana baadhi ya watumishi wa Tanesco wanaihujumu Serikali, hivyo waziri na watendaji wake watupie jicho kila kona ya Tanesco
Sukuma gang mtapata tabu sana, na hakuna tena ruhusa ya mtu kama Jiwe kuingia Ikulu wala kuwa hata waziri, taifa kama taifa limepata funzo na natamani sukuma gang waliobak hata kwenye uwaziri watolewe wote.No no no, tatizo Makamba aliingia na mbwembwe, yaani Kalemani hakuwa mzuri kwa mahusiano na TANESCO ila aliweza kufanikisha mambo mengi, pila Dkt Magufuli alikuwa mtu pekee akisema hataki uzembe kila mtu anaelewa ila kwa sasa mdebwedo debwedo
Utabaki mjinga mpk lini?,mpk na samia atakufa bira kuerevuka,kipindi cha kalemani ulikuwa hujazaliwa?,waulize wazazi wako watakwambia umeme ulikuwa haukatiki kbs,Huyu ni Waziri wa 3 tatizo liko pale pale, hata kama ni dhaifu lakini January amelikuta.